Recent content by ukweni

  1. U

    Ni aibu msomi kufanya biashara ambayo hata asiyesoma anaweza kufanya

    Umetoa changamoto nzuri lakini ya kukandia wajasiriamali wadogo. Mtu anaweza kuwekeza kwenye hivyo vitu unavyoviona wewe vya ovyo na akatoka sana kimaisha kushinda wewe na elimu yako na mawazo makubwa makubwa! Kazi ya elimu ni pamoja na kukuwezesha kuboresha hali ya chini ya maisha/utendaji kuwa...
  2. U

    Dkt Bashiru amtaja Membe kwenye sakata la korosho

    Nasikia wanasema kangomba ya korosho inapigwa na viongozi, au wamebaini na jamaa ni miongoni mwao nini?
  3. U

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Nimetuma pesa kwenda tigo pesa lakini nikapata ujumbe kutoka m-pesa "Samahani, muhamala wako haukukamilika kwasababu za kiufundi. Tafadhali wasiliana na huduma kwa wateja". Cha kushangaza pesa imekatwa!! Nimepiga 100 huduma kwa wateja, nimeishia kuboreka tu! Hakuna chaguo la kuongea moja kwa...
  4. U

    JK alitoa nafasi adhimu sana ya kupata Katiba mpya lakini tukaipoteza, itatuchukua miaka mingine zaidi ya 50 kuipata Katiba mpya!

    Mtu mwenye determination na kujua umhimu wa hicho unakifanya huwezi kutishwa na watu wenye njaa...hata wakati wa kuanzishwa kwa vyama vingi wengi walitaka kibaki kimoja, lakini viongozi mahiri waliona mbali wakasema hapana lazima, dunia inabadilika tuwasikilize hawa wachache ili kipanua wigo wa...
  5. U

    JK alitoa nafasi adhimu sana ya kupata Katiba mpya lakini tukaipoteza, itatuchukua miaka mingine zaidi ya 50 kuipata Katiba mpya!

    Aliboronga alipoikosoa kwa mbwembwe rasimu ya katiba ya tume ambayo yy mwenyewe aliiteua ikakusanye maoni ya watz ili tupate katba mpya. Adha zote tunazopata na tutakazoendelea kuzipata kwa kukosa katiba mpya ni matokeo ya jk kuyashambulia maoni ya watz yaliyokusanywa na tume ya warioba na...
  6. U

    Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara(CHADEMA) ajiuzulu na kuhamia CCM

    Hatima ya maisha ya kila mmoja wetu ipo kwenye maamuzi yake, lakini pale ambapo maamuzi hayo hayo yatapelekea kuliingizia taifa hasara kwa mfano kupelekea kurudiwa uchaguzi kwenye jimbo, ifike mahali kama nchi tuweke utaratibu wa kuwataka wale wote wanaochukua maamuzi hayo yatakayopelekea...
  7. U

    Waziri Lugola: Nitamtoa mtu "Matumbo" atakayefanya uchochezi kwenye kampeni za uchaguzi

    Hivi kiongozi hawezi kuwa mchochezi?? Mi naamini kiongozi anapotoa lugha za kuwachefua wananchi na wao wakamjibu kwa lugha za kumchefua kiongozi, anayekuwa mchochezi ni kiongozi mwenyewe. Kama kweli usalama wa Taifa wapo kwa ajili ya kulinda amani ya nchi yetu, basi na viongozi wanaowachochea...
  8. U

    Kufanya malipo/manunuzi kupitia mitandao ya simu

    Kumekuwa na kero kubwa sana pale, mfano mtu unanunua LUKU kupitia mtandao wa simu, unaanza kufanya mwamala kuanzia hatua ya kwanza hadi ya mwisho na kupata ujumbe kama 'mwamala wako unashughiliwa utapokea uthibitisho hivi punde'. Ukishapata huo ujumbe, hupati tena huo uthibitisho hadi upige simu...
  9. U

    Makampuni ya huduma za simu za mkononi mjipange, huu ndio inadaiwa utakuwa mtiririko wa vifurushi vya Azam Telecom

    Nadhani kuna mapungufu kwenye sera zinazosimamia makampuni ya mitandao. Kama hata makampuni ya kigeni yanakuja na mwanzo mzuri halafu baada ya muda huduma zinadorora na bado zikaendelea kutolewa zikiwa na mdororo kwa walaji (wateja) bila kutolewa sababu ya msingi ya kudorora kwake, basi...
  10. U

    Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

    Tanesco ikiendelea kubaki kama ilivyo, hata angekuja rais mkali namna gani, hata ungeweka watendaji wakuu wachapa kazi kiasi gani, bado ufanisi hautapatikana! Tanesco inatakiwa igawanywe na shughuli zingine zibinafisishwe. Mfano Tanesco ya leo inatakiwa kuwa mzalishaji na msafirishaji tu wa...
Back
Top Bottom