Asiye na Chama
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 1,269
- 652
Mkuu kwa hiyo na wewe ni kichwa maji? Mimi simo! Ila kuna vichwa maji hasa wapiga kura na viongozi wanaowachagua kutuwakilisha!Mkuu, hata angekuja nani bado Watanzania ni Vichwa Maji. Inaweza ikawa laana ya Uweusi huu nao! Sikupenda Kuzaliwa Mweusi, Sikutaka niwe sehemu ya laana hii!