Hiyo ndiyo inadhihirisha kabisa kwamba serikali ya sisiemu imeshindwa kabisa kufanya maamuzi magumu na kuchukua hatua stahiki ya kuimarisha suala la nishati muhimu ya umeme ambayo ni kiungo muhimu sana ktk kuinua uchumi wetu!
Hii inatupa sababu kubwa sana ya kuikataa ccm ktk uchaguzi huu....Na...
Kweli kabisa! Sisiemu hawakujaza uwanja kabisa... Walitengeneza picha tu za kuonyesha mafuriko ili kudanganya na kuchanganya watu! Moshi wala Arusha sisiemu hawana chao....
Picha ya 1 ni Arusha na ya 2 ni Moshi...!
TAARIFA MUHIMU;
Lowassa kuhutubia live usiku huu; Mgombea Urais wa CHADEMA ambaye pia anawakilisha UKAWA, Edward Lowassa atahutubia taifa usiku huu moja kwa moja kupitia Kituo cha Televisheni cha ITV mara baada ya taarifa ya habari. Hii itakuwa Kwa ajili ya Watanzania ambao kutokana muda kuwa...
TAARIFA MUHIMU;
Lowassa kuhutubia live usiku huu; Mgombea Urais wa CHADEMA ambaye pia anawakilisha UKAWA, Edward Lowassa atahutubia taifa usiku huu moja kwa moja kupitia Kituo cha Televisheni cha ITV mara baada ya taarifa ya habari. Hii itakuwa Kwa ajili ya Watanzania ambao kutokana muda kuwa...
TAARIFA MUHIMU;
Lowassa kuhutubia live usiku huu; Mgombea Urais wa CHADEMA ambaye pia anawakilisha UKAWA, Edward Lowassa atahutubia taifa usiku huu moja kwa moja kupitia Kituo cha Televisheni cha ITV mara baada ya taarifa ya habari. Hii itakuwa Kwa ajili ya Watanzania ambao kutokana muda kuwa...
TAARIFA MUHIMU;
Lowassa kuhutubia live usiku huu; Mgombea Urais wa CHADEMA ambaye pia anawakilisha UKAWA, Edward Lowassa atahutubia taifa usiku huu moja kwa moja kupitia Kituo cha Televisheni cha ITV mara baada ya taarifa ya habari. Hii itakuwa Kwa ajili ya Watanzania ambao kutokana muda kuwa...
TAARIFA MUHIMU;
Lowassa kuhutubia live usiku huu; Mgombea Urais wa CHADEMA ambaye pia anawakilisha UKAWA, Edward Lowassa atahutubia taifa usiku huu moja kwa moja kupitia Kituo cha Televisheni cha ITV mara baada ya taarifa ya habari. Hii itakuwa Kwa ajili ya Watanzania ambao kutokana muda kuwa...
TAARIFA MUHIMU;
Lowassa kuhutubia live usiku huu; Mgombea Urais wa CHADEMA ambaye pia anawakilisha UKAWA, Edward Lowassa atahutubia taifa usiku huu moja kwa moja kupitia Kituo cha Televisheni cha ITV mara baada ya taarifa ya habari. Hii itakuwa Kwa ajili ya Watanzania ambao kutokana muda kuwa...
TAARIFA MUHIMU;
Lowassa kuhutubia live usiku huu; Mgombea Urais wa CHADEMA ambaye pia anawakilisha UKAWA, Edward Lowassa atahutubia taifa usiku huu moja kwa moja kupitia Kituo cha Televisheni cha ITV mara baada ya taarifa ya habari. Hii itakuwa Kwa ajili ya Watanzania ambao kutokana muda kuwa...
Nashukuru kwa taarifa!
Hiyo ni Forum dada wa JF au? Itakuwa inahusika na mijadala kadhaa tu kama ya kitaaluma kama ulivyosema hapo juu au ni kila kitu kama JF?
Duh, c mchezo! Anavyoonekana mzalendo na mchapakazi kumbe ana madudu mengi hivi underground?
Nimesikia pia na habari za boti aliyonunua ya toka Dar to Bagamoyo; inabeba abiria 350, inatumia masaa 3, halafu imenunuliwa kwa bilioni 8 wakati imetengenezwa mwaka 1978! Lakini boti ya Bakhressa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.