CCM ijiandae kisaikolojia hakuna namna!

CCM ijiandae kisaikolojia hakuna namna!

Wenye hotuba ndefu wameifikisha nchi wapi? Tatizo co hotuba ndefu au fupi, ni kuchagua yule atakekufaa kwa kizazi hiki na taifa la kesho
 
Sasa magufuli anaanza kutishia watu kwa mfano wa libya huyu jamaa kaishiwa
 
Mgombea wa ccm sasa kaishiwa cha kuongea anaanza kuwatisha wananchi eti wakifanya mabadiliko watajuta kama watu wa libya anashindwa kujua hizi ni scenarios mbili tofauti huyu jamaa kavurugwa badala ya kutwambia kwa nini miaka hamsini umeshindwa kuleta maendeleo unakazania eti tukuamini
 
Nchi haichukuliwi kwa hotuba ya dakika kumi mwambie akagombee ujumbe wa shina
Huo muda wa kuongea porojo nyingi ni tabia za watu wenye kupenda kusema uongo na kudanganya! sema machache then chukua hatua sio unaongea mpaka unaishiwa sauti alafu historia inakuhukumu kwa tabia zako za kuahidi uongo kila uchaguzi!
 
Nchi haichukuliwi kwa hotuba ya dakika kumi mwambie akagombee ujumbe wa shina



Duh! Kweli ukawa tume bugi! Mi naonahapa hatuna kiongozi! Eti kiongozi sera yake akiingia ikulu itakua kumuachia babu seya!!!na mashehe!!, yaani hii ni extreemly cheap politics, hivi huyu kweli ndio rais mtarajiwa!!? Napata mashaka kama huyu ndie Lowasa ninae mjua wa miaka ile ya 80, uwezo wake umepungua mno!!!
 
tutampigia kura lowassa. ninyi ccm mmekuwa madaktari wa lowassa??

Nakuhakikishia tutampa kura hata ikibaki picha yake tu.
 
matusi ya mkapa,yameipoteza zaid ccm,watz wanazid kuhamasika,kwa jinsi nilivyohudhuria ns kushuhudia pale jangwan Na jins walivyojitoa,ccm mwisho wake unakaribia.
 
Mzee wa kupiga tumba naona mafuta kwisha kabisa, mikoa miwili tu! Hoi, yetu macho!
 
Ukiwa na akili nyepesi utasumbuliwa sana na matukio. Ni kama desi tu. Wewe unaweza kuangamiza hata vizazi vyako kwa kukosa kuelewa mambo kwa picha pana.
Mwenye akili ndogo ni yule asiejua ni nini kiu ya watanzania! Huwezi kusema una akili ya kupambanua mambo huku miaka 54 ya Uhuru wanawake wanajifungulia Chini,Huna ndege hata moja ya abiria unachekwa mpaka na majirani zako. Funguka ndugu toa utando ndani ya macho yako.
 
Nchi haichukuliwi kwa hotuba ya dakika kumi mwambie akagombee ujumbe wa shina

Hao wanao ongea siku nzima wametusaidia nini kwa miaka zaidi ya 50....!? Kuna tofauti kubwa kati ya muongeaji sana na mtendaji. Haihitaji maneno mengi kufanya mambo yatendeke. Kwa wakati tulionao, tunahitaji kiongozi mtendaji zaidi kuliko muongeaji.
 
Mwenye akili ndogo ni yule asiejua ni nini kiu ya watanzania! Huwezi kusema una akili ya kupambanua mambo huku miaka 54 ya Uhuru wanawake wanajifungulia Chini,Huna ndege hata moja ya abiria unachekwa mpaka na majirani zako. Funguka ndugu toa utando ndani ya macho yako.

Ushauri wa mjinga hauna impact
 
TAARIFA MUHIMU;

Lowassa kuhutubia live usiku huu; Mgombea Urais wa CHADEMA ambaye pia anawakilisha UKAWA, Edward Lowassa atahutubia taifa usiku huu moja kwa moja kupitia Kituo cha Televisheni cha ITV mara baada ya taarifa ya habari. Hii itakuwa Kwa ajili ya Watanzania ambao kutokana muda kuwa mfupi hawakupata fursa ya kusikia hotuba yote aliyopanga kuitoa leo Kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za kitaifa za CHADEMA na UKAWA.

Ni habari niliyodokezwa hivi punde...!
 
Tanzania mineno mireeeefu-kenya walishatuambia kitambo. Short and clear speeches that we need. Vitendo vinahitajika sasa. Go go go Lowassa!!

Hata me siwapendi waimba ngonjera. Tunataka vitendo vingi....ngonjera chache
 
Back
Top Bottom