Recent content by ukweli mhimili

  1. U

    UBINAFSI WA KIAKILI

    Ubinafsi wa kiakili ni ile hali ya kuamini fikra zako tu binafsi.Tunapofikri kwa mtindo huu,hatutaweza kufahamu mawazo,hisia na mihemko ya wengine. Huu ni mtazamo wa kiasili ambapo tunaguswa zaidi na maumivu yetu pamoja na matamanio yetu,na matumaini yetu ndio tunayoyapa nafasi kwanza kuliko...
  2. U

    UDOM Second Batch 2 imetoka

    Hi guys,ninayo furaha kuwajulisha kua wale waliokua wakisubiria batch TWO UDOM,tayari majina yashatoka,ingia kwenye website ya chuo UDOM-WEB utafute jina lako na kozi uliyopangiwa "MUNGU NI WETU SOTE"...
  3. U

    Udom jaman

    yaani wanaboa kweli hawa jamaa,watu kila siku wanawawaza confirmation tuuu,mda wote huna amani unawaza sijui watanipokea au laa... bora hata ule utaratibu wa zamani wa watu kuomba direct chuoni haukua na stress kiasi hiki. THIS IS TOO MUCH BORING!!!
  4. U

    Mambo yashaanza kunoga NACTE!

    Wale walioomba nacte fungueni profile zenu sasa hivi,washaanza kuthibitisha selection kwenye profile,mimi ni mmoja wao, wameniadikia hivi SELECTED...
  5. U

    Msaada kwa anaefahamu hili kwa wale wa NACTE

    yaani hata mimi nimevurugwa mbaya na hawa nacte,profile yangu haijabadilika na wala haijanitaka niombe tena lakini cha kushangaza wengine walioomba kwa kutumia diploma wamechaguliwa udom wenye sifa kama zangu kila nikiwapigia nacte ili niwaulize kinachoendelea hawapokei simu,hata sijui tufanyaje...
  6. U

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    nimeshajaza fomu na nishaiprint, kwenye post education nimejaaza taarifa zangu za kidato cha sita na si za diploma, sasa nikiambatanisha cha diploma bila kuweka cha form six si itakua tatizo au niambatanishe vyote cha o level, cha form six na cha diploma?
  7. U

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    msaada wakuu,mimi nimemaliza form six 2008 halafu nikajiunga na diploma ya ualimu 2010,swali langu, katika viambatanisho vya vyeti ninavyopaswa kuviattach kwenye fomu ni pamoja na nakala ya cheti changu cha diploma? au niambatanishe cha form four na form six tu na vile vingine vya kawaida...
  8. U

    Mjadala wa katiba mpya uhairishwe mpaka hapo uchaguzi mkuu utakapoisha

    Tunachokishuhudia kwenye bunge la katiba ndicho tulichopaswa kukishuhudia! Hakuna jipya tutakaloliona au kulitarajia kwenye bunge la katiba nje ya malumbano yanayolenga kutafuta ushindi wa pande zinazolumbana. Bunge hili la katiba limekuja wakati mbaya,kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu si...
  9. U

    Je ccm inayonafasi ya kutoa viongozi wataosimamia maslahi ya wananchi kwa haraka na gharama yoyote?

    Ni ukweli kua viongozi wa chama "twawala " wamesikia vya kutosha vilio vya wananchi wanaohitaji maboresho katika kila idara ya umma katika nchi hii elimu, afya, usafiri n.k.. vilio hivi vya wananchi vya kila uchao havihitaji elimu yoyote kujua kua wananchi wamechoka na viongozi wao waliowaamini...
Back
Top Bottom