Ubinafsi wa kiakili ni ile hali ya kuamini fikra zako tu binafsi.Tunapofikri kwa mtindo huu,hatutaweza kufahamu mawazo,hisia na mihemko ya wengine.
Huu ni mtazamo wa kiasili ambapo tunaguswa zaidi na maumivu yetu pamoja na matamanio yetu,na matumaini yetu ndio tunayoyapa nafasi kwanza kuliko...
Hi guys,ninayo furaha kuwajulisha kua wale waliokua wakisubiria batch TWO UDOM,tayari majina yashatoka,ingia kwenye website ya chuo UDOM-WEB utafute jina lako na kozi uliyopangiwa
"MUNGU NI WETU SOTE"...
yaani wanaboa kweli hawa jamaa,watu kila siku wanawawaza confirmation tuuu,mda wote huna amani unawaza sijui watanipokea au laa... bora hata ule utaratibu wa zamani wa watu kuomba direct chuoni haukua na stress kiasi hiki. THIS IS TOO MUCH BORING!!!
yaani hata mimi nimevurugwa mbaya na hawa nacte,profile yangu haijabadilika na wala haijanitaka niombe tena lakini cha kushangaza wengine walioomba kwa kutumia diploma wamechaguliwa udom wenye sifa kama zangu kila nikiwapigia nacte ili niwaulize kinachoendelea hawapokei simu,hata sijui tufanyaje...
nimeshajaza fomu na nishaiprint, kwenye post education nimejaaza taarifa zangu za kidato cha sita na si za diploma, sasa nikiambatanisha cha diploma bila kuweka cha form six si itakua tatizo au niambatanishe vyote cha o level, cha form six na cha diploma?
msaada wakuu,mimi nimemaliza form six 2008 halafu nikajiunga na diploma ya ualimu 2010,swali langu, katika viambatanisho vya vyeti ninavyopaswa kuviattach kwenye fomu ni pamoja na nakala ya cheti changu cha diploma? au niambatanishe cha form four na form six tu na vile vingine vya kawaida...
Tunachokishuhudia kwenye bunge la katiba ndicho tulichopaswa kukishuhudia! Hakuna jipya tutakaloliona au kulitarajia kwenye bunge la katiba nje ya malumbano yanayolenga kutafuta ushindi wa pande zinazolumbana.
Bunge hili la katiba limekuja wakati mbaya,kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu si...
Ni ukweli kua viongozi wa chama "twawala " wamesikia vya kutosha vilio vya wananchi wanaohitaji maboresho katika kila idara ya umma katika nchi hii elimu, afya, usafiri n.k.. vilio hivi vya wananchi vya kila uchao havihitaji elimu yoyote kujua kua wananchi wamechoka na viongozi wao waliowaamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.