Recent content by ukimbile

  1. U

    ITV mbona mnafanya upendeleo kwa CCM?

    heshima mliojijengea itv itayeyuka soon
  2. U

    Paul Kagame umeongea ukweli hataki unafiki!

    kwanza kagame amekalia kuti kavu huku analikata.binadamu ukimya wao una kishindo.historia inaonesha watakichafua xho muda
  3. U

    Paul Kagame umeongea ukweli hataki unafiki!

    kagame anabadili katiba ili akae milele sisi tunabadilishana ingawa wanaoingia ni wabovu
  4. U

    Paul Kagame umeongea ukweli hataki unafiki!

    huwezi ukalinganisha hali ya demokrasia rwanda na tanzania.rwanda nchi inaendeshwa na mtu mmoja akianguka mambo yana badilika.tanzania nchi inaendeshwa na wanasiasa wakiangushwa wanajitokeza wengine.tz utawala mbovu lakini kuna katabia kakubadilishana.RWANDA wanamuhofia lowassa wanajua akichukua...
  5. U

    Kingunge kukutana na Wanahabari kesho saa 5 asubuhi Serena Hotel kujibu Mapigo

    tunataka mkapa na mwinyi wahamie huku
  6. U

    Nape awapongeza Dkt Slaa na Lipumba

    huyu jamaa tunamsubiri kwenye goli lamkono tufahamiane
  7. U

    Ufoo Saro, kwanini uteseke na kuumia tu moyoni?

    ufoo salo chadema full
  8. U

    Inasikitisha: Msichana wa miaka 12 atoroka ISIS na kusimulia alivyotendewa akiwa mateka

    upuuzi huu ni propaganda.hakuna dini yenye kukubali uongo huuu
  9. U

    Ratiba ya mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Edward Lowassa

    mkuu nipo tokea juzi namsikilizia kamanda
  10. U

    Kilichofanyika mpaka Lowassa akatua CHADEMA na kufuta ndoto ya Dk. Slaa

    lazima mteme unga .tukiichukua nchi mtajutia wizi mlioufanya kwenye ardhi hii
  11. U

    WIKIPEDIA wamkaanga Edward Lowassa, sijui ataponea wapi huyu bana

    masikini muweka thread std two
Back
Top Bottom