Recent content by uhurumoja

  1. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu naomba mnisaidie.Sitaki kurudi Misri ya u singo maza

    Amani ndani ya nyumba ni muhimu sana
  2. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Kama umeoa au haujaoa take this

    Ukidhani kufua kupika kudeki kuosha vyombo ni shida oa upate shida zaidi.
  3. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Unaonaje uzi mpya wa Simba, Yanga na Azam wa msimu wa 2026/27?

    1.Yanga zote Kali sana 2.Azam nao wamo wamo 3................... 4................... 5.................... 6.Simba nyekundu inavalika kanda ya ziwa
  4. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Droo ya raundi ya awali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika

    Amani complex patawaka moto Simba Yanga Singida Kvz na Zimamoto bila kusahau Azam ⚽
  5. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Ukifika miaka 70, ni heri uishi mjini au urudi kijijini?

    Mjini nje ya mji Kuwa karibu na mjini ni muhimu sana
  6. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu wa FIFA Apanga Njama za Kumuondoa Gianni Infantino

    Kukalia kiti Cha fifa na kuwa papa hizo position mbili unatakiwa kuwa exceptional sana kwenye ku deal na maadui
  7. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Songwe: Mwalimu auwawa akizuia mifugo isipite katikati ya Shule

    Naamini Dimoso hakujua kinachofuata mbele yake na huenda alikuwa akizuia mara kadhaa ndio ukawekwa mpango na hao wafugaji wa kumuondoa duniani R.I.P teacher
  8. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Yanga SC watambulisha wachezaji wa 3 wa Kimataifa, Cheick Toure (straika) MVP wa Zambia, Albert Kangwanda na Husseine Zakouani

    Usajili pekee yanga ulikuwa wa 1.Aziz Ki 2.Fisto Mayele 3.Yanick Bangala 4.Pacome 5.Yao Baada ya hapa zimebaki gambling na labda nyakati zile mukoko na niyonzima
  9. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Kwa kigezo hiki, Mbappe atashinda Ballon d'Or mwaka 2026?

    Kwa wote nadhani Rodri na Kane watachuana sana
  10. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Hivi wasanii wa zamani wanawake hawapo?

    Wa zamani hapo ni Mwasiti,JD,na Raha P
  11. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Ukweli Humuweka Mtu Huru: Nimechoka Kujiuza, Nimechoka.

    Pia kaongeza 'kumcheki dm"kwa ushauri zaidi nadhani biashara imekuwa ngumu kidogo
  12. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Ukweli Humuweka Mtu Huru: Nimechoka Kujiuza, Nimechoka.

    Ugumu nadhani uko hapo mwisho kabisa pa "nicheki dm" sema nusrati ana kamuandiko ka kibraza sana
  13. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Huu nao ni ukatili dhidi ya wanaume.

    Ukinunua mwanamke tegemea yote Cha muhimu chagua mmoja mtongoze taratibu akikubali anza kumchakata mdo mdo atafanya kile unapenda ila Malaya Hana upendo abadani
Back
Top Bottom