Recent content by uhurumoja

  1. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Mtu anakumbuka kosa alilofanyiwa miaka 20 iliyopita sababu mzazi hakumuomba msamaha!

    Mzazi hajawahi kunikosea
  2. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Aliyebuni usafiri wa bajaji ña pikipiki anastahili tuzo ya Nobel Kaepusha mengi sana
  3. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania ITV Tanzania huo u ‘super brand’ nani aliwapa? Je, ni tuzo ya kudumu?

    Farhia Middle na Jackline Selem wakiitamka hiyo "the super brand afrika mashariki" utapenda
  4. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri kwenda shule ni ujinga na kutojali afya ya mtoto wako

    Kila mtu Aishi anavyoweza na kuamini
  5. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Hapa tuseme :" KIMEUMANA"

    Mkuu amini Hawa ni rahisi zaidi kuwakamata kuliko Hawa raia wa kawaida we jipe muda na usikute wako nguvuni mda tu.
  6. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Hapa tuseme :" KIMEUMANA"

    Walikuwa wanatoka kwenye kampuni yao ya kimasai na jamaa Yao alipigiwa simu kueleza Kifupi kuwapata ni rahisi maana bado lazima watashirikiana na wamasai wengine na hapo ndio watapotea
  7. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Msaada tutani: Nashindwa kuchangamana na watu

    Una Autism ukifika 40 itakuwa obvious ila kwa Sasa angalau umeanza kuitambua Kwa kuongezea tu ni kwamba Kuna saa unakuwa extremely kind na unakuwa mzito kuelewa hisia za wengine
  8. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Hiki ndio alichokesema Thierry Hendry baada ya game ya jana kati ya PSG na Bayern Munich. UCL semi fainal

    Ukweli zile beki za upamecano Jana ilikuwa hovyo kabisa
  9. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Ona ukatili unaofanywa na Africa ya Kusini kwa wageni

    SA nimekaa mwaka Moja na kurejea kifupi uadui ulioko pale ni hatari sana
  10. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Derby ya Kariakoo kupigwa kwenye uwanja wa Mej. Jenerali Isamuhyo

    Hii ni tafsiri kuwa derby imeshakufa na sasa ni mechi ya kawaida tu hakuna pressure yoyote
  11. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Kapombe, Kagoma kuikosa Fountain Gate Aprili 15, 2026 dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha

    Fountain gate washindwe wenyewe kula pweza Gizani
  12. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Robo Fainali UEFA: Liverpool na Barcelona kufanya 'Comeback' dhidi ya PSG na Atletico leo?

    Barcelona ni rahisi kufanya comeback ila sio liver
  13. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania CAS: Tutatoa uamuzi wa rufaa ya Senegal "haraka iwezekanavyo"

    Haraka ni mda gani kwa CAS
  14. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Makonda: Mwakani tunaanzisha ligi ya wazawa tu!

    Watakubali ni kuongea nao kwa utulivu
  15. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa sio watu wazuri, Dar city yachakazwa tena

    Jana Rwanda kamchakaza vibaya Kuna mtu wa kuitwa Randal II kaweka record kupitia Danga city
Back
Top Bottom