Watu wamechelewa sana kuwajua caf na uhuni wao ila Sasa dunia mzima imewajua
Kwanza walianza kwa kuwabeba sana Morocco Kisha wamekuja na maamuzi haya ya hovyo
We ukiangalia unaona mzungumzaji huyo ana akili hata kidogo!?
Hajui kuwa Zanzibar Ina wahamiaji na watalii lukuki kutoka maeneo mbali mbali wanaokula hao samaki ye anendelee kula kobe na mwani
Maisha hayaendi hivyo wao wapambane ila hakuna kitu kitakuja kwa fairness wanayotaka
Aliye nacho huongezewa na asiye nacho hunyang'naywa hata kile kidogo alicho nacho that is nature
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.