Recent content by uhurumoja

  1. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania NDUGU ZETU WALIO TOKA SAUZI

    Mbona hata kabla hawajaja yote hayo yanafanyika wizi,ukabaji mauaji utekaji n.k
  2. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Kijana wa Umri wa Miaka 18 Auwa Watu 8 Kisha Kujipiga Risasi

    Hakupaswa kubadili gender hapo ndio shida ilipoanzia
  3. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Fatuma Karume na Zitto Kabwe sasa hivi mko kimya

    Nilisahau kama wapo hao watu
  4. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Bodaboda wengi hawajui matumizi ya taa za ‘dabo hazadi’, waelimishwe

    Usisahau kuvaa Pedi ukiwa kwenye mkusanyiko
  5. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Eneo la shule kuwekwa maduka

    Hiyo ni E.K au Elimu ya kujitegemea shule itakusanya mapato yatakayosaidia kuendesha mambo madogo madogo kama chai na chakula Cha mchana kwa walimu kununua baadhi ya VIFAA vya stationary
  6. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Yaya Toure aandika historia, kocha wa kwanza mwafrika kuipeleka timu Ligi ya Mabingwa Ulaya

    Safi kachagua njia nzuri ya kupita kuelekea kwenye ukocha wa club kubwa kabisa pale France na Germany
  7. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Mara bum!napewa nafasi ya Nchimbi yani nitashirikiana na mama bega kwa bega
  8. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Tabia za wanawake wa Kilimanjaro

    Pombe haijaongelewa popote🤔
  9. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Jiji la New York lakumbwa tena na Mafuriko makubwa

    Hollywood watakuja na movie yake soon
  10. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Mchezaji Mpya wa Simba Afungiwa na Bodi ya Ligi na kutozwa Faini

    Hii ni njia rasmi ya kuongeza mapato nadhani kama ni kubwa sana wangeongeza ukubwa wa ye kuwa nje sio kukimbilia pesa
  11. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Najalibu kufikili ujumbe na malengo ya sanaa za uchongaji YA MZUNGU VS MUAFRIKA

    Labda ni roho za kiafrika
  12. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu naomba mnisaidie.Sitaki kurudi Misri ya u singo maza

    Amani ndani ya nyumba ni muhimu sana
  13. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Kama umeoa au haujaoa take this

    Ukidhani kufua kupika kudeki kuosha vyombo ni shida oa upate shida zaidi.
  14. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Unaonaje uzi mpya wa Simba, Yanga na Azam wa msimu wa 2026/27?

    1.Yanga zote Kali sana 2.Azam nao wamo wamo 3................... 4................... 5.................... 6.Simba nyekundu inavalika kanda ya ziwa
Back
Top Bottom