Recent content by uhurumoja

  1. uhurumoja

    Misri: Klabu ya Pharco yatangaza kususia mashindano yote yanayoandaliwa na CAF

    Watu wamechelewa sana kuwajua caf na uhuni wao ila Sasa dunia mzima imewajua Kwanza walianza kwa kuwabeba sana Morocco Kisha wamekuja na maamuzi haya ya hovyo
  2. uhurumoja

    CAF Champions League Inaendeleaje? Sijaifuatilia baada ya Kutolewa

    Team za Egypt zimefurushwa vibaya bingwa mpya ni Berkane ama Esperance
  3. uhurumoja

    Unajiona kabisa una sura mbaya yet unaenda kuzaa na mtu mwenye sura kama yako. Watoto wako watateseka sana kupata kazi na wenzi

    Mafanikio huletwa na character sura abadani haiwezi kukupa mafanikio labda itakusaidia "kutumika"
  4. uhurumoja

    Mbunge, Zanzibar: Msituletee samaki kutoka bara, sie hatuli

    We ukiangalia unaona mzungumzaji huyo ana akili hata kidogo!? Hajui kuwa Zanzibar Ina wahamiaji na watalii lukuki kutoka maeneo mbali mbali wanaokula hao samaki ye anendelee kula kobe na mwani
  5. uhurumoja

    Klabu ya Simba huwenda ikasusia mechi ya Dabi, waiandikia barua Bodi ya Ligi kisa mechi kupelekwa Zanzibar

    Ingeenda kirumba ama jamhuri morogoro ila sio nje ya nchi
  6. uhurumoja

    Ida Odinga and the Wealth Debate in Kenya

    Maisha hayaendi hivyo wao wapambane ila hakuna kitu kitakuja kwa fairness wanayotaka Aliye nacho huongezewa na asiye nacho hunyang'naywa hata kile kidogo alicho nacho that is nature
  7. uhurumoja

    Klabu ya Simba huwenda ikasusia mechi ya Dabi, waiandikia barua Bodi ya Ligi kisa mechi kupelekwa Zanzibar

    Simba wako sahihi kabisa na ningependa wasiende nchini Zanzibar
  8. uhurumoja

    Nini Kimeibadili Arusha Toka "Arusha Hakuna Fala Hadi Ufala 100%"?

    Dar itaendelea kuchukua point huwezi Kuta ujinga kama huu dar au mbeya na mara
  9. uhurumoja

    Naomba kufahamu sifa na tabia za wanawake wa KIIRAQ /MBULU na WARANGI

    Ukipata mrangi hutajuta ni wife material mnooooo!! Wa iraq sijui sana ila mrangi usimuache uta enjoy life sana
  10. uhurumoja

    Wamorocco wanunua tiketi zote kwenye mechi dhidi ya Morocco na Nigeria AFCON

    Nigeria wao wapige chini Kipa la Morocco haliendi lazima Morocco wakae
  11. uhurumoja

    FT: Barcelona 3-2 Real Madrid | Spain Super Cup Final | King Abdullah Sports City | Januari 11,2026 | Saa 4:00 Usiku

    Kuifunga barca kwa Madrid ya Sasa ni ndoto kimsingi hamna team pale
Back
Top Bottom