Recent content by uhurulikalambile

  1. U

    Mkiisha kuondoka ccm mseme!!

    Mbona unaandika kwa kupanic sana
  2. U

    Kwanini Dr. Slaa na timu yake ya chama izuiliwe kwenda kusini kuendesha mabaraza ya katiba

    mwarobaini nakushukuru kwa kutuamsha wanwkusini hapa jamvini.ushauri wangu wanakusini wote tuone wanakusini adui yetu mkubwa ni ccm ,kuanzia sasa tuchukue atua dhidi ya ccm vinginevyo wanakusini tumekwisha kwani ccm ni janga la kitaifa kwa wanakusini.
  3. U

    Kifo cha CCM kimetimia

    hongera sana kwa kumshauri nd,mwigu
  4. U

    Majimbo ambayo CCM hawana chao 2015

    kamanda pamoja na kilwa kaskazini tayari maccm wameshafunga virago.na mungu awalaze maala pema peponi amina.
  5. U

    Majimbo ambayo CCM hawana chao 2015

    kamanda pamoja na kilwa kaskazini tayari maccm wameshafunga virago.na mungu awalaze maala pema peponi amina.
  6. U

    Bondia Mada Maugo Ajiunga na CHADEMA leo Tarehe 08/06/2013

    ahsante kwa taarifa kamanda,bado tunasubiri tu mjomba mrisho mpoto amalizie kazi ili 2015 njia nyeupe dr.slaa magogoni.
  7. U

    Kamanda wa anga pole bwana, ndio siasa hiyo.

    ACHA KUTUMIKA, WATANZANIA WA LEO C WALE 2005 NA 2015.HUU NI WAKATI WA DIGITAL ,YAANI CHADEMA NI DIGITAL NA MACCM NI ANALOGIA.MWISHO YA YOTE UTAPATA Aibu.
  8. U

    Kupwaya kwa uongozi wa CHADEMA

    jibu hoja je cuf wapo kwenye mlengo wa kilebirali au la naww usioanze kuchanganyikiwa kwa kuwa ni mwanacuf cc atukuelewi je wapo uko nini mlengo wa kileberal?jibu hoja ucropoke.
  9. U

    Vurugu kati ya CHADEMA na CUF juu ya USHOGA zasababisha Bunge kuahirishwa

    hongera kaka kwa ufafanuzi zaidi naomba wanacuf wakubali tu kukosolewa na waombe radhi kwakuleta vurugu bungeni.tafadhali mh wenje usitafune maneno wala kuomba radhi hapo kama kisu sema kisu na sio shoka.
  10. U

    Dkt. Slaa Kutua Mbagala (Mianzini) Kesho...

    acha kutumika ww, mwache dr.wa ukweli afanye majukumu yake kwa utarabu na technique ya hali ya juu,kama si dr. Wenu wa kuchonga na bwana kicheko.
  11. U

    Dkt. Slaa Kutua Mbagala (Mianzini) Kesho...

    ahsante kwa taarifa kamanda,ila usisahau live updates na mapicha kama kawa
  12. U

    Dr Slaa Kuhutubia Mkutano Mkubwa wa Hadhara Morogoro Tarehe 01 June 2013

    karibu sana dr.wa uwekweli ndani ya morogoro tunakusubiri kwa hamu kubwa sana.
  13. U

    Loliondo: Wamasai wampa onyo Rais Kikwete

    habari ndiyo hiyo komaeni wamasai mpaka kieleweke.akikisheni mnalinda ardhi yenu kwa gharama yoyote.
Back
Top Bottom