Recent content by UHURU JR

  1. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Jaji John Ruhangisa: Wabunge wanapoongea bungeni, wanayoyaongea ni kweli wametumwa na wananchi?

    Ila mkuu hawalipwi na chama kule bungeni hivyo hatuwezi kuwapotezea tu.
  2. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Tujadili bila chuki. Rais Magufuli na Samia kimataifa nani amekuwa kichekesho? Mmoja alikuja kufungua nchi, iliyofungwa. Vipi ameifungua?

    Lawama anabebeshwa Chadema kuwa ndio chanzo cha yote hayo.
  3. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha Kuona kwamba Nchi 12 Zenye Idadi Kubwa ya Watu Maskini Duniani, 10 Ziko Afrika. Tanzania, DRC, Kenya, Uganda na Majirani Zetu Wote

    Hata wewe mkuu unaweza kuwa na jibu, mkuu wewe ni mzalendo huwa unaeleza sana maendeleo ya nchi yetu chini ya serikali ya ccm yenye kuongozwa na Samia.
  4. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Salamu za amani ipi? Mbona huo wimbo ulishapitwa na wakati Tanzania, hakuna tena Tanzania ya amani.
  5. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    "Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza” kila la heri kwenye huko kuelezea huo unaoita ukweli wa upande uliyouchagua.
  6. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Acha huo ukweli uongee wenyewe au huo ukweli unakutegemea wewe kuongelea?
  7. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Unachokifanya ndio useless, na ungekuwa na kazi ya msingi ya kufanya usingekuwa na huo muda wa kujipa kazi ya kusifia na kutetea serikali humu JF maana hakuna faida yeyote zaidi ya uchawi tu. Kama unadai Samia anapiga kazi na haitaji umaarufu basi acha tuone vitendo vikiongea kulikuwa hakuna...
  8. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Hakuna hata haja ya kukufuatilia bali wewe na wenzako mmejenga umaarufu wa kijinga sana humu JF, kama ni kweli ndio mnalipwa buku 7 basi mnapaswa kuomba muongezewe hicho kiasi.
  9. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Police given green light Kula Rushwa?

    Yupo sahihi hajataka kuji contradict na kauli yake ya kula kwa urefu wa kamba.
  10. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Polisi hakikisheni ‘Vi-clip clip’ visirushwe, msimame kwenye mambo yenu

    Sasa watakulaje kwa urefu wa kamba zao?
  11. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    The future's not ours to see.
  12. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Mkuu labda wewe ndio utafute kazi maana kushinda muda wote JF kuiunga mkono serikali kwa KILA jambo sio kazi, ungekuwa na kazi ya kufanya usingepata muda wa kufanya hicho unachokifanya.
  13. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Wanatuonesha maziwa na matako mtandaoni kwa kigezo cha kunadi biashara ya nguo za ndani; Serikali haiwaoni?

    Mbona demu wa kawaida tu sijaona uzuri huo.
  14. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Wewe ndio unahamisha mjadala kwa sababu mada inahusu kupungua kwa umaarufu wa Samia ila wewe unakuja kusema umaarufu sio muhimu na kuanza kutuelezea majukumu ya serikali wakati mada inahusu umaarufu na sio hayo majukumu ya rais wala serikali. Mlijaza mabango yenye kumsifia Samia nchi nzima...
Back
Top Bottom