Recent content by UHURU JR

  1. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Mpaka sasa upande wenye kupinga uwepo wa laana wameweza kujibu kwanini wakati mwengine watu hutokewa na madhara baada ya kutolewa laana, wamesema huwa ni hofu yake tu(nocebol effect) ndio yenye kusababisha kujiletea hayo madhara lakini si laana ndio maana wengine hawapatwi na madhara yeyote hata...
  2. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Mh..hapo bado sijaelewa.
  3. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Hivi kipaji kinapatikanaje?
  4. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Utagundua hofu ina nguvu mno(nocebol) kuleta madhara hadi ya kudumu na kifo ila matarajio chanya hayana nguvu na faida yake si ya kudumu, ni ajabu.
  5. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Hapa ni mwendo wa kuwamba ngoma tu kila mtu anavuta kwake, kila mmoja anaona yeye ndio sahihi na upande wa mwenzie kunakuwa na majibu ya kudhania.
  6. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Nadhani hiyo ni nocebo effect badala ya placebo. Kwahiyo hapo kwa nilivyokuelewa ni kwamba kinachomfanya mtu apate madhara kama matokeo ya laana ni hofu yake inakuwa nocebo effect ila kwa asiyekuwa na hofu hawezi kuathiriwa na chochote?
  7. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Huyu nabii Tito achukuliwe hatua za kisheria

    Kama aliachiwa Mwaipopo na alichokifanya basi nadhani sioni haja ya kushughulika na Tito pia, tuwaache tu.
  8. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Ulichoeleza ni sahihi kwa maana ndio inapaswa iwe hivyo na ndio maana mimi nauliza ni chanzo kipi cha nguvu ambacho ndio kinaleta athari kwa aliyelaaniwa? Lakini kwenye uhalisia wa maisha yetu ya kiafrika kuna baadhi ya matukio ambayo ni kama yanaeleza kitu tofauti na ulichoeleza.
  9. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Si mchezo, shida hapo inakuja ni kuelezea uhalisia wa nini hasa kilichopo ambacho kinyume na hayo unayosema hayapo hapo ndio mtiti.
  10. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Hapo sasa kila upande una ushahidi wake, ndio maana nauliza ukweli ni upi?
  11. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Swali: kwa wenye kuamini ukweli wa uwepo wa laana, je ni ipi source yenye kuibeba hiyo laana na kuleta athari kivitendo kwa aliyelaaniwa?
  12. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Na ndio maana nasema hata kwenye jambo lenye sura ya uongo kunawezekana kuwa kuna chembe ya ukweli na hata kwenye jambo lenye sura ya ukweli kunaweza kuwa na chembe za uongo, shida kila mmoja anapotaka kushika upande wake uwe ndio sahihi kwa 100%, hali inayotufanya tushindwe kuchunguza uhalisia...
  13. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Huyu nabii Tito achukuliwe hatua za kisheria

    Akitukanwa wanaumia na akikosolewa wanauwa, unaambiwa huwezi kushindana na dola.
  14. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Huyu nabii Tito achukuliwe hatua za kisheria

    Siwezi kusema ni uongo au ukweli sababu hakuna ushahidi na muhusika mwenyewe hajakanusha wala kupinga habari hiyo.
  15. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Sawa mkuu.
Back
Top Bottom