Hata wewe mkuu unaweza kuwa na jibu, mkuu wewe ni mzalendo huwa unaeleza sana maendeleo ya nchi yetu chini ya serikali ya ccm yenye kuongozwa na Samia.
Unachokifanya ndio useless, na ungekuwa na kazi ya msingi ya kufanya usingekuwa na huo muda wa kujipa kazi ya kusifia na kutetea serikali humu JF maana hakuna faida yeyote zaidi ya uchawi tu.
Kama unadai Samia anapiga kazi na haitaji umaarufu basi acha tuone vitendo vikiongea kulikuwa hakuna...
Hakuna hata haja ya kukufuatilia bali wewe na wenzako mmejenga umaarufu wa kijinga sana humu JF, kama ni kweli ndio mnalipwa buku 7 basi mnapaswa kuomba muongezewe hicho kiasi.
Mkuu labda wewe ndio utafute kazi maana kushinda muda wote JF kuiunga mkono serikali kwa KILA jambo sio kazi, ungekuwa na kazi ya kufanya usingepata muda wa kufanya hicho unachokifanya.
Wewe ndio unahamisha mjadala kwa sababu mada inahusu kupungua kwa umaarufu wa Samia ila wewe unakuja kusema umaarufu sio muhimu na kuanza kutuelezea majukumu ya serikali wakati mada inahusu umaarufu na sio hayo majukumu ya rais wala serikali.
Mlijaza mabango yenye kumsifia Samia nchi nzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.