Recent content by UHURU JR

  1. UHURU JR

    Dkt. Nyambura Moremi ateuliwa tena kuwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa. Aliondolewa baada ya sampuli za mimea kukutwa na UVIKO-19

    Omba Mungu asahaulike kabisa maana hali ilivyo sasa ni kama huyo jamaa bado yupo.
  2. UHURU JR

    Dkt. Nyambura Moremi ateuliwa tena kuwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa. Aliondolewa baada ya sampuli za mimea kukutwa na UVIKO-19

    Omba Mungu umsahau kabisa maana kinachoendelea sasa pamoja na huyo jamaa kufutwa ila bado hamjamsahau na hiyo inakuwa kama mtu aliyefiwa na mpenzi wake aliyekuwa akimpenda sana.
  3. UHURU JR

    Lema awataja Mawaziri wanaomtukana Rais Samia

    Wanamwita mpumbavu mi sijui....
  4. UHURU JR

    Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

    Na mimi najua iko hivyo kama hapo wewe una experience yako kuhusu waganga ila wao kwao ni tofauti, mtu hana experience yeyote na kitu anachokipinga ndio maana ni tabu kubishana na watu kama hao.
  5. UHURU JR

    Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

    Ni jina lenye maana yake kwa maana hata wewe unaweza ukaitwa hilo jina.
  6. UHURU JR

    Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

    Mkuu umekuja na kitu ambacho ni tofauti na maarifa na experience za watu wengine humu ndio maana nikasema hivyo.
  7. UHURU JR

    Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

    Ubaya wake hao huwa hawajishughulishi kutaka kujua ukweli wao washaweka msimamo wao kisha wanaishia kudai uthibitisho basi.
  8. UHURU JR

    Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

    Issue sio kuelewa bali kupata uhalisia wa unachokieleza.
  9. UHURU JR

    Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

    Nimesema kwamba kuna magonjwa yanajulikana hayana dawa ila kwenye mitishamba hayo magonjwa hutibika, kinachofanya iendelee kusemwa hakuna dawa za hayo magonjwa ni kutokuwepo uthibitisho wa kisayansi kwa hiyo mitishamba kutibu hayo magonjwa ndio maana inabaki kutambulika hakuna dawa za hayo...
  10. UHURU JR

    Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

    Unaweza ukatoa mifano ya uhalisia kwenye hayo uliyoeleza?
  11. UHURU JR

    Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

    Hili suala la uthibitisho ni tata maana mfano unakuta inajulikana hakuna dawa ya ugonjwa fulani lakini kuna watu huko wanatumia mitishamba yao kutibu ugonjwa huo huo ila kwa kuwa hakuna uthibitisho wa kisayansi kwa dawa hiyo basi inaendelea kubaki kuwa huo ugonjwa hauna dawa.
  12. UHURU JR

    Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

    Kwa maana kwamba mtu unaweza kwenda kwa mganga kwa kutaka kumroga mtu afe na akafa kweli au awe chizi awe chizi na kweli akawa chizi huwa ni mind game tu hatujajua?
  13. UHURU JR

    Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

    Lakini navyojua wakati mwengine mganga anaweza kukutajia dawa ya tatizo ukaitafuta mwenyewe na ukajitibu tatizo lako pasina kutibiwa na mganga, je hapo source ya nguvu ya hiyo dawa inatoka wapi?
  14. UHURU JR

    Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

    Kwahiyo kumbe hawa majini,mizimu,mashetani n.k ni malaika ila na matendo yao ndio yaliyofanya walaaniwe na kuitwa hayo majini mizimu mashetani n.k?
Back
Top Bottom