Recent content by UHURU JR

  1. UHURU JR

    Kwanini Tanzania inapokea watalii milioni 2 tu?

    Siasa nyingi hii nchi.
  2. UHURU JR

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Mambo ya miujiza na maombi ndio yanazidi kushika kasi mkuu na ni vitu ambavyo vipo wazi kabisa sijajua wewe unachopinga ni kipi?
  3. UHURU JR

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Nafikiri kuna mahali bado hatujaweza kuelewana kwenye hiki tunachojadili.
  4. UHURU JR

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Kinachowavutia waumini kwenye hayo makanisa ni miujiza na si mahubiri na ndio maana siku hizi hadi waislamu wanaenda huko makanisani, yote ni kwa sababu ya kufuata hiyo miujiza na si mahubiri.
  5. UHURU JR

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Au waumini wa kikristo wazungu nao wanapenda miujiza kama huku bongo?
  6. UHURU JR

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Sasa hao wakristo wengi afrika ina maana hatuwezi kuona athari yao ya hiyo hark work mpaka kuwe na nchi ya kikristo kabisa?
  7. UHURU JR

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Inategemea na eneo unaloishi ndio maana nasema kwa hapa Tanzania wakristo wengi huonekana kupenda miujiza ila ukienda nchi zengine utakuta wakristo wa huko hawana time na mambo ya miujiza.
  8. UHURU JR

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Unazungumzia nchi gani au jamii gani? Kwa sababu anaweza akaja mwengine akasema kuna dini fulani wanapenda sana miujiza, lakini kumbe huyo mtu akienda nchi zengine huko anakuta waumini wa huko hawana time na mambo ya miujiza wao wako busy na kazi na wanaamini sana sayansi kuliko mambo ya miujiza.
  9. UHURU JR

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Hiyo hard work unayoizungumzia tunaionaje kwenye bara letu hili la afrika ambalo ni masikini na lipo nyuma kimaendeleo na hizi dini zikihusishwa kuwa ni moja ya chanzo chenye kuchangia watu kutotumia sana akili na kufanya kazi kwa bidii badala yake wanategemea sana maombi na miujiza?mifano...
  10. UHURU JR

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Kama watu wengi wanaamini uchawi na wana utenda huo uchawi basi si ajabu kuona watu wakivaa hizo hirizi na kuchanja chale kujilinda.
  11. UHURU JR

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Pamoja na kueleza hayo yote ila bado inaonekana kijumla dini zinawafanya waafrika kutegemea maombi na miujiza zaidi kuliko kazi, je hili unalizungumziaje?
  12. UHURU JR

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    Hapana mkuu wala sio suala la kuzini wala dhambi na kama hiyo ingekuwa ndio sababu basi hata hizo ndoto usingepata kabisa, ndoto kuwa katika mafumbo ni kawaida. Sema changamoto ndio hiyo kwa ndoto zenye kuonyesha matukio yajayo inakuwa ngumu kidogo kuweza kujua maana ya ujumbe wa hiyo ndoto hadi...
  13. UHURU JR

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    Kwa sasa ndoto unaletewa kwa mafumbo ni tofauti na ulivyokuwa mdogo, hapo ukiweza kufuatilia hizo symbols katika ndoto zako na ukazielewa tafsiri zake kwako basi itakuwa rahisi kwako kuweza kufahamu maana ya ujumbe uliyo katika hizo ndoto zako.
  14. UHURU JR

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    Tunapokuwa tunaanza kufikiri kwa kutumia mantiki zaidi na ndivyo jamii inavyotaka ndio maana hata hapa utaona watu jinsi wanavyopokea hayo mnayoeleza humu kwa kuona kama ni kuchanganiyikiwa tu, hivyo unapokuwa unakutana na ukosoaji na unajikuta pia unajenga hali ya kujitilia mashaka mwenyewe...
Back
Top Bottom