Nchi ina imba wimbo wa watu kutekwa hadi sasa imekuwa kitu cha kawaida watu kutekwa. Utulivu hata kwa vitisho unapatikana mtu anaweza kutulia kwa hofu.
Shida huwa si kwenye kukosoa au kuonyesha makosa bali shida ni kwenye hitimisho baada ya huko kukosoa, ndio maana muabudu mizimu atakosoa dini anazoita za kuletewa na kisha atahitimisha kwa kutaka watu waabudu mizimu kwamba ndio kuna ukweli na mkanaji Mungu naye atakosoa dini hizo dini mbili na...
Ila kuna wazee hadi wa miaka 100 na bado wanaishi ilhali kuna vijana wadogo wanakufa kwa maradhi ambayo unakuta wazee wanaishi nayo hadi sasa, mimi bado pananichanganya sana hapo.
Vita,ajali, maradhi n.k ni vitu ambavyo watu wamepitia na wako hai hadi sasa.
Kwahiyo mkuu kwa ufahamu wako ni kwamba uchawi umekuwa hauna uthibitisho kwa miaka yote hii kwa sababu hauna matokeo kama huo mfano uliyotoa?
Ushajiuliza baada ya kuamka hauna hizo nywele ndio utaweza kuelezea kwa jinsi gani huo uchawi umeweza kuondoa hizo nywele?
Utaweza kuthibitisha kuwa ni...
Ndio kusema ule mfumo kristo haupo tena sasa hivi kwa sababu tu rais muislamu au Samia kauvunja kabisa ule mfumo ambao ulikuwa ukiimbwa kwa miaka mingi?
Sasa mkuu unavyoniambia nikuroge hivyo ndio kuthibitisha uchawi? Unaweza ukaeleza ni kwa vp huo uchawi utathibitika kwa mimi kukuroga wewe? Tuchukulie mimi nimekuroga kweli na wewe ukakubali kweli umerogwa, je hiyo ndio itakuwa uthibitisho wa kuwepo uchawi? Au itakuwa umekubali tu kuamini...
Wakati wabara wanawatetea wazanzibari kwa sababu ya dini ni moja ila hao wazanzibari huwa wanaona wabara(bila kujali dini) ndio wanaenda kuharibu maadili ya zanzibar, kwa kifupi wao ni uzanzibari kwanza kisha dini ila wabara wametanguliza dini kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.