Recent content by UHURU JR

  1. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Hongera Rais Samia, nchi imetulia tuli vizuri sana

    Nchi ina imba wimbo wa watu kutekwa hadi sasa imekuwa kitu cha kawaida watu kutekwa. Utulivu hata kwa vitisho unapatikana mtu anaweza kutulia kwa hofu.
  2. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Mapungufu ya Dini za Wakoloni

    Shida huwa si kwenye kukosoa au kuonyesha makosa bali shida ni kwenye hitimisho baada ya huko kukosoa, ndio maana muabudu mizimu atakosoa dini anazoita za kuletewa na kisha atahitimisha kwa kutaka watu waabudu mizimu kwamba ndio kuna ukweli na mkanaji Mungu naye atakosoa dini hizo dini mbili na...
  3. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Haujafa leo kwa sababu haujafa leo, hakuna cha sijui haukuchaguliwa, mara siku yako haijafika ama haikuwa kwenye mipango

    Ila kuna wazee hadi wa miaka 100 na bado wanaishi ilhali kuna vijana wadogo wanakufa kwa maradhi ambayo unakuta wazee wanaishi nayo hadi sasa, mimi bado pananichanganya sana hapo. Vita,ajali, maradhi n.k ni vitu ambavyo watu wamepitia na wako hai hadi sasa.
  4. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Kwahiyo mkuu kwa ufahamu wako ni kwamba uchawi umekuwa hauna uthibitisho kwa miaka yote hii kwa sababu hauna matokeo kama huo mfano uliyotoa? Ushajiuliza baada ya kuamka hauna hizo nywele ndio utaweza kuelezea kwa jinsi gani huo uchawi umeweza kuondoa hizo nywele? Utaweza kuthibitisha kuwa ni...
  5. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Haujafa leo kwa sababu haujafa leo, hakuna cha sijui haukuchaguliwa, mara siku yako haijafika ama haikuwa kwenye mipango

    Hivi kifo ni jambo la lazima au ni matokeo tu?
  6. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Haujafa leo kwa sababu haujafa leo, hakuna cha sijui haukuchaguliwa, mara siku yako haijafika ama haikuwa kwenye mipango

    Sasa mbona waganga wamejaa kila mtaa, ina maana wanawasimulia watu simulizi za uchawi?
  7. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Haujafa leo kwa sababu haujafa leo, hakuna cha sijui haukuchaguliwa, mara siku yako haijafika ama haikuwa kwenye mipango

    Tatizo kila mtu anakubali kuamini kuwa lazima atakufa tu bila kujali hizo sababu za vifo.
  8. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Haujafa leo kwa sababu haujafa leo, hakuna cha sijui haukuchaguliwa, mara siku yako haijafika ama haikuwa kwenye mipango

    Mwisho wa siku wote kwa pamoja mnaamini lazima mtakufa kwa sababu yeyote ile.
  9. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Nini kimesababisha mchango wa Waislamu katika harakati za siasa za mapambano Tanzania kuwa ukipungua ?

    Ndio kusema ule mfumo kristo haupo tena sasa hivi kwa sababu tu rais muislamu au Samia kauvunja kabisa ule mfumo ambao ulikuwa ukiimbwa kwa miaka mingi?
  10. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Nini kimesababisha mchango wa Waislamu katika harakati za siasa za mapambano Tanzania kuwa ukipungua ?

    Kama kuna namna mambo yao yanaenda chini ya huu utawala sasa unafikiri watabwata nini tena? Assad mie naamini alikuwa na ugomvi binafsi na JPM.
  11. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Sasa mkuu unavyoniambia nikuroge hivyo ndio kuthibitisha uchawi? Unaweza ukaeleza ni kwa vp huo uchawi utathibitika kwa mimi kukuroga wewe? Tuchukulie mimi nimekuroga kweli na wewe ukakubali kweli umerogwa, je hiyo ndio itakuwa uthibitisho wa kuwepo uchawi? Au itakuwa umekubali tu kuamini...
  12. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wazanzibar hawatekwi na kupotezwa?

    Wakati wabara wanawatetea wazanzibari kwa sababu ya dini ni moja ila hao wazanzibari huwa wanaona wabara(bila kujali dini) ndio wanaenda kuharibu maadili ya zanzibar, kwa kifupi wao ni uzanzibari kwanza kisha dini ila wabara wametanguliza dini kwanza.
  13. UHURU JR

    JamiiForums Tanzania Nini kimesababisha mchango wa Waislamu katika harakati za siasa za mapambano Tanzania kuwa ukipungua ?

    Waislamu wanafaidikaje na utawala wa Samia?ujue mie najiuliza sipati jibu.
Back
Top Bottom