Recent content by uhemeli

  1. U

    Simbachawene: Mitambo ya kuchakata umeme wa gesi sio ya serikali ni mali ya mtu binafsi

    watanzania hebu amkeni msifanye makosa tarehe 25, ccm tuwapumzishe kwa amani, tumewachoka na tumechoka kuibiwa mali zetu
  2. U

    Dr. Slaa kesho atasema nini?

    Kweli huyu mzee ni mnafiki sana, kwanza kiongozi gani anayekubali kununuliwa? Hatutaki hata kumsikiliza hana maana. Kapoteza sifa na heshima ktk taifa hili. Akae kimya asipotoshe uma, hatufai
  3. U

    Ufisadi wa bilion 230 za mabehewa 'feki' mazito yaibuka, sasa Waziri Mwakyembe kitanzini

    Mwe mwee, pesa yetu inaliwa na mchwa jamani. Haya na hapo mtasema lowasaaa????
  4. U

    Dr. Slaa kuzungumza na Vyombo vya Habari, Serena Hotel - Septemba 1, 2015

    Inaniumiza sana roho yangu kwa kiongozi unayeaminika kukubali kununuliwa kwa fedha, ama kweli fedha ni mwanaharamu
  5. U

    Utabiri wa atakayekuwa Rais wa Tanzania 2015

    Hivi bado kuna watabiri zama hizi, duuh, watabiri ni waongo balaa,
  6. U

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Wanaona aibu hasa wakati huu wa kampeni
  7. U

    Lowassa kapita dirishani kwangu

    Jamani mwaka huu ndiyo nauona upinzani wa kweli, sasa kuna wengine matumbo joto safari hii hawalali duh, sisi tumeshachagua rais tunayemtaka tunasubiri tu kulikamilisha hili 25.Oktoba, :A S shade::A S shade::A S shade::A S shade:
  8. U

    Lowassa kapita dirishani kwangu

    Jamani mwaka huu ndiyo nauona upinzani wa kweli, sasa kuna wengine matumbo joto safari hii hawalali duh, sisi tumeshachagua rais tunayemtaka tunasubiri tu kulikamilisha hili 25.Oktoba,
  9. U

    CHADEMA/UKAWA kuzindua kampeni tarehe 29 Agosti, 2015 Jangwani

    Natamani sana niwe Dar siku hiyo lakini majukumu jamani, nawatakia kila laheri lakini tutakuwa pamoja huku mikoani kwetu, Ukawa Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, ukawa tumaini letu watanzania
  10. U

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    Nchi hii tuna wachumi lakini hawatumiki ipasavyo katika kupanga mipango inayoleta tija. Wanasiasa ndiyo wapepora kila kitu, hii inasababisha uchumi wetu kuyumba sana. Nikitoa mfano mdogo tu huwezi ukawa na gap kubwa sana la mshahara kati ya kima cha juu na cha chini. Ukizingatia wote hawa ni...
  11. U

    UKAWA wanajifanya wana uhakika wanachukua nchi. Lakini ukiwaambia TUBETI milioni milioni wote MITINI

    Ukawa ndo ikulu hiyo, anzeni kujiandaa kisaikolojia kuwa wapinzanig
  12. U

    UDSM: GPA ya Maalimu Seif Sharifu Hamad

    Hebu tupeni na GPA ya JK, alipata ya ngapi
  13. U

    Njama za CCM kumuweka Kizuizini Lowassa zaiva!

    Hebu muendelee kutujuza habari zinazoendelea
  14. U

    Zijue ibara ya 70-75 zilizokataliwa na mwanasheria mkuu wa Zanzibar

    Mimi nashangaa sana, hivi kuna kosa gani mtu akikosoa kasoro zinazoonekana? Ukiona chombo kikubwa kama bunge ni ndiyooo tu ujue aidha kuna rushwa ndani au kuna maslahi binafsi. Haiwekekani mkakubaliana kwa kila kitu, hapo ujue hakuna kitu ni uozo mtupu!. Nampongeza mwanasheria wa zanzibar kwa...
Back
Top Bottom