Hapo hakuna siri tena, kwanza kubali lazima jamii itakutiza kwa mtazamo tofauti na mwanzo. Cha msingi inatakiwa ukubali kuishi maisha yatakayofuata baada ya siri hiyo kufichuka pande zote mbili. Nakushauri usijaribu kumuumiza mkorea, mlete bongo tumia mbinu hizo qmbazo umeshauriwa za kumuhifadhi...
Habari zenu wanajamii ninabiashara yangu ya asali mbichi kutoka tabora kwa anae hitaji Huduma inapitikana muda wote ukihitaji..mauzo nikuanzia litre 1 nahata kiujumla kama ukihitajii.
Nianze upya kivipi? Kwamba nirudi katoliki? Kimsingi katika hii imani kuna vitu bado sivikubali, nimekuja kugundua baada ya kuingia kuwa kuna vijisheria vingi na vijimisimamo vingi ambavyo nikiviangalia kwa hali ya kawaida tu havina mantiki, Jamii inayonizunguka tayari inajua Mimi no msabato...
Najua utanilaumu na kuniona mnafiki lakini hata mi mwenyewe nilikuwa na msimamo mzuri tu wa kiimani lakini yalinikuta hayo. Hata sikuweza kufikiria sana juu ya maamuzi hayo kwa jinsi nilivyokuwa nimelainika
Habarini wana jamii.
Naombeni mnisaidie, nilitokea kumpenda binti mmoja ambae alikuwa mzuri sana lakini pia alikuwa na msimamo wa kimaisha pia kiimani. Alikuwa ni binti ambae hatetereshwi kirahisi tena hata ngono aliniambia hawezi kufanya kabla ya kuolewa. Nilipomdodosa zaidi aliniambia kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.