Recent content by ufuto

  1. U

    Leo nimemsaliti mpenzi wangu sasa roho inaniuma hadi nakosa amani

    Akuache na ukafie mbali,huna sababu ya kuishi tena!!!
  2. U

    Leo nimemsaliti mpenzi wangu sasa roho inaniuma hadi nakosa amani

    Acha kuhalaliaha dhambi,utachomwa moto,mkeo akichepuka ndo utajua kuwa siyo kawaida ..
  3. U

    Nauza hizi nyumba

    Hizi siyo za kwenye tangazo la avic town??
  4. U

    Nauza hizi nyumba

    Hakuwa makini na jukwaa hili,inawezelana yeye ndo anavuta...
  5. U

    Pale mume anaposema hatajenga nyumba

    Imani ni kuwa na hakika na ndoto zako...
  6. U

    Ni kipi chanzo na tiba ya misuli ya jicho kutikisika?

    Inawezekana,maana nimeuliza wazee wakasema ikicheza nyama ya juu ya jicho ni jambo jema la kufurahisha linakuja,ila nyama ya chini ya jicho ni ishara ya jambo baya na pengine litahusisha machozi kabisa.
  7. U

    Ni kipi chanzo na tiba ya misuli ya jicho kutikisika?

    Na ibaki kwenu tu,maana!!! [emoji252] [emoji252]
  8. U

    Shampein (champagne) yaumbua wazazi wa maharusi

    Ni wazazi wa bibi au bwana harusi?surprise nyingine hazifai,wangewapa maelekezo wangependezesha sherehe kuliko kuwasononesha wazee mbele ya halaiki na wakwe zao...
  9. U

    Serikali kuja na pedi za kike za kurudia

    Hapa ni uokoe pesa au afya.... Serikali haishindwi kuongeza ruzuku na kuwapatia watoto wa kike pedi ,hata kama ni kuwachangisha wazazi na wadau wa elimu..
  10. U

    Wee Dada,God is seeing you!

    Hajui maana ya msamiati aliotumia..
  11. U

    Ni hali ngumu au uchoyo?

    Watakuwa wana tabia ya kupakua bila ruhusa...Du,litakuwa pilau la mwaka mpya..
  12. U

    MIKUMI: Mkulima aliyechomwa mkuki na Wafugaji apata nafuu baada ya matibabu

    Vita vya wakulima na wafigaji vilianzia kwa kaini na habili,Ibrahim na Luthu,Labani Yakobo na Esau.... Mungu atuokoe na ukatili huu...
  13. U

    Kansiime ni shida

    Ni kweli kabisa,hakuna sababu ya kununua gari ya speed zaidi ya 80..
  14. U

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Friends wa kweli hawapo tena..
Back
Top Bottom