Ulikuwa wapi? kwani hukusikia au kusoma ripoti ya CAG, PCCB na ile ya PAC. Majaji wa mahakama kuu na wao ni wahusika wakuu katika kupokea malipo kutoka kwa Rugemarila walipokea takribani m 500 na ushee, hivyo usitegemee waruhusu mwenzao aumizwe kichwa na Tume ya Maadili
Chipsi yaipembeni acha wivu wako. Hivi hujui kuwa huu ni utaratibu wa kawaida tu na ulianza muda mrefu kwa Kiongozi anapotembelea mkoa au wilaya fulani lazima aandaliwe mtu wa kumtuliza na mambo yao huishia hapo. Hii imesaidia sana viongozi kutembelea wilaya na mikoa ambayo imeonesha mapokezi na...
Hayo ndio matokeo makubwa sasa, wewe huoni tumeongeza idadi ya waliofaulu kutoka 38% hadi 68% ingawa hawana pa kwenda yaani hawachukuliki kuendelea na elimu ya juu.Tumewafanyia mazingaombwe watanzania na watatuelewa tu kesho wanatupa ulaji kama kawa. Kalaghabhaho!!!
TBC kimeshajitoa magamba ni chombo cha CCM siyo tena cha TAIFA.kama mnakumbuka viwanja vyote vya mpira vilivyojengwa na wananchi vilivyotolewa maagamba na kuwa vya CCM?.Anyway mimi nimeshafunga station hiyo siitazami tena
Katika pitapita zangu nilifika mkoani Kigoma kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Nikakutana na wazee fulani watano wamefika kulalamika kwa mkuu wa mkoa baada ya kukosa msaada kwa mkuu wa wilaya moja mpya kama sikosei walitaja kama Buhigwe.
Malalamiko yao yalikuwa ni shirika la tanesco kukataa...
Hongera rosemarie kwa kusema ukweli wako ndivyo tunavyotakiwa kuwa tusiwe wanafiki tunakihujumu chama ni bora mtu akasema ukweli kukisaidia chama.
Mh. Mwenyekiti tunakoelekea siko Hongera ulikipandisha chati chama kwa miaka 5 iliyopita lakini sasa hivi kimeanza kuporomokaa . Itisha wanachama wa...
Hivi hawa mabinti wadogo kiasi hicho wwanawezaje kuwavulia chupi baba zao?. Lakini mara nyingi tu inatokea wengine wanadai hawa wazee ndio wana fedha wamekamilika kuliko vijana wenzao kwani unakuta kijana ndio kwanza anaanza kujipanga kimaisha bado amepigika . Unaona mfano yule mzee wa vijisenti...
Chadema kama wanataka kusonga mbele ni lazima wamuombe msamaha Zitto na wajirekebishe wakubali demokrasia na mabadiliko. Siyo vizuri kwa chama kuwa na viongozi wa kutoka wilaya moja tu au mbili kwa vipindi takribani viwili wakati Tanzania ni kubwa. Infact wangekubaliana na mapendekezo ya Zitto...
Nimetafakari sana naona giza mbele. Haya maendeleo hayatupeleki tunakotaka kwenda. Sina uhakika kama viongozi wetu wanawaza na kutafakari sababu za yanayotokea sasa. Hebu tupitie kidogo:
1.Zamani watumishi wa Umma kama walimu, askari, waganga na wengine wengi walikuwa wanaheshimika sana katika...
Tunamshukuru Kiwete katuondolea hili babu chinjachinja Dani Makanga. Ingawa hajamaliza kazi kamwacha msaidizi wake Issa Machibya angeyaondoa yote sijui kwa nini amemwacha huyu babu shauri yake anaiteketeza CCM kwa mikono yake mwenyewe.
Viongozi wasikilizeni wananchi wanataka nini. Vinginevyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.