Recent content by UDSM STUDENT

  1. U

    Wale wa UDSM ARIS tayari imeshasoma, nendeni mkaangalie

    Wale wa udsm ARIS tayari imeshasoma angalieni kwenye akaunti zenu
  2. U

    Nachingwea kukoje

    Vipi kuna umeme hadi vijijini
  3. U

    Nachingwea kukoje

    Namikango mkuu
  4. U

    Nachingwea kukoje

    Naskia kuna Kambi tano za jeshi ?
  5. U

    Nachingwea kukoje

    Sio kwamba nataka kukwepa ila naulizia ili niweze kujua mazingira,tabia za wakazi wa huko pamoja na fursa zinazoweza kupatikana huko
  6. U

    Nachingwea kukoje

    Habari za saizi wana JF most nimepangiwa kwenda kufanya field Nachingwea naomba kwa yeyote mwenye kuifahamu hii wilaya anipe dondoo zake
  7. U

    Tuition kwa Masomo ya Science Kidato cha Tano.

    Njoo hapa Riverside karibu na mabibo hostel
Back
Top Bottom