Recent content by Udom runner

  1. U

    Wanaosoma Chuo chochote Dodoma.

    nani kakwambia kutaja jinsia yako doesn't matter kuwa msomi acha imani za ajabu
  2. U

    Wako wapi wanafunzi bora (Tanzania One) wa miaka ya nyuma?

    sasa unataka uwaone vipi siwanaenda kwenye ajira
  3. U

    Mark Zuckerberg: The end of smartphones and TVs is coming

    Labda niwaweke sawa richa ya ayo maendeleo zingatia vitu ivi 1)simu ata iwe nauwezo wakukupa taarifa vipi uwe na app ya TV nakadharika lakini umuhimu was TV upo palepale asikwambie mtu kuangalia video katika kioo kikubwa ni raha 2)ata ikija iyo technology ya kuwasiliana kwakutumia hisia lakini...
  4. U

    Tushare game za android

    sawaaaa ngoja nilekebishe PC yangu arafu nitatafuta iyo kitu na call of duty
  5. U

    Tushare game za android

    ningependa tuweze kushare game nzuri za android kwa Mimi list yangu ni _contract killer zombie _zombie road kill _zombie frontier 3 _dead target _rail rash nawasilisha
  6. U

    Nisaidieni hili swali wanachuo limenishinda!

    Hapa inaonekana wengi wanaongea koshabiki tu kwachuo ni kawaida sana kutolewa swali ambalo ataukitafuta Google majibu upati hususani kwenye somo la psychology kujua swali linataka nini ni rahisi lakini majibu mbinde apo minikipewaga assignment kama iyo nachofanya ni kusachi bila kuchoka Google...
  7. U

    Je huwezi kuwa mwanasayansi bila kugundua kitu?

    Niende direct kwenye mada kwani kwa mtazamo wangu naona kuwa Tanzania kuna wanasayansi wengi tu katika nyanja mbalimbali kama madaktari, mainjinia nk lakini watanzania wengi wamezoea kusema kuwa kwa Tanzania hakuna wanasayansi eti kwasababu hawagundui sasa najiuliza maswali kama haya; 1)Je...
  8. U

    Tanzania hakuna walimu wa Sayansi

    Asante sana kaka umenisaidia kumjibu maana unamawazo kamayangu ila nikawa najifikilia kuandika passage lote ni shughuli ukosawa kabisa
Back
Top Bottom