Recent content by Udizungwa

  1. Udizungwa

    Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

    Uliyeandika huu ujinga unaonesha sio Mkristo . Acha upotoshaji
  2. Udizungwa

    Kwanini tunawaita watoto wetu majina ya Kizungu/Kiarabu wakati wao hawawaiti watoto wao majina yetu?

    Majina yanamaana sana kimaisha. Unakuta majina mengine yanamaanisha uchawi, au majina ya majini(mashetani). Muhimu ni kutunza maan ay majina hayo.
  3. Udizungwa

    Kwanini tunawaita watoto wetu majina ya Kizungu/Kiarabu wakati wao hawawaiti watoto wao majina yetu?

    Muhimu ni kutunza maana ya jina hilo ikiwa ni kabila au lugha yoyote Kuna watu wanawapa watoto majina ya kikabila lakini ukifatilia maana ya majina hayo yana maana mbaya sana.
  4. Udizungwa

    Spika Job Ndugai ataja sifa za mbunge kutibiwa nje ya nchi

    Tuachane na siasa atibiwe kwa udhamini wa serikali yule ni mtanzania mwenzetu tuthaminiane.
  5. Udizungwa

    Utofauti wa nchi ya Tanzania na Congo DRC

    Inaonesha huwajui na muziki wao huujui wale ndo wakaa uchi tangu zamani.
  6. Udizungwa

    Musiba: Nina majina 1,800 ya wanaompa Mange Kimambi siri za Serikali; kuna vigogo wa Serikali, CCM na CHADEMA

    Bashite Anakula maisha da kama yake. Hizo pesa za kuzamini kiasi hicho hivi anazipata wapi? Kila kukixha mara wanawake sasa kashasema anatakakuwapa na wanaume wa Da. Anatoa wapi pesa
  7. Udizungwa

    CAG: Serikali Yashusha Deni la Taifa

    Tuendelee na utulivu wetu huenda Mungu akatusaidia
  8. Udizungwa

    Kumbukizi la Mwalimu Nyerere: Mchango wa Mwalimu Nyerere Kuhusu Amani, Umoja wa Kitaifa na Uwajibikaji

    Watanzania tushazoea kila mtawala anakuwa na lake na sio kirithi mazuri na kuyaendeleza. Alikuwa Mh. Mkkapa alipotoka aliacha uchumi ukiwa vizuri. Na huyu naye anamtengenezea anayekuja aje atafune, ndo maisha yetu yalivyo hayana mfumo unaoeleweka
Back
Top Bottom