Kheri Hansen
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 1,025
- 1,235
Hata kama ni uteam ila Team Lumumba mmetisha kwa uongo. Mmeumbuka! Spika kapigiwa na balozi wa Ujerumani kamjulisha personally kabisa kwamba huyu jamaa anagharamikiwa na Ujeruman, japo haizuii kupambania haki zake za kimatibabu kutoka kwa Bunge. Sasa ikawaje team [HASHTAG]#LumumbaBaby[/HASHTAG] mkasema katelekezwa kibrazani, analala sebuleni huko Ubelgiji?
Jamani matango pori yanalika, ila bila chumvi kwakweli ni kuuawana. Ni kama Nandy, saivi nyimbo zake naona ni kelele, hata kwenye simu yangu naziona ni mzigo, maana kwa kuvujisha utupu alidhani ndio kiki kumbe watanzania wa sasa sio wa miaka hiyo. Hata ukiangalia Hollywood, trend iliyopo sasahivi ni Mahakama, watu wanafukuzana na mahakama tuuu…mara kakamatwa, kesho anaripoti, mara jela miezi 3 n.k.. Trend za utupu hata nashangaa Diamond aliingiaje kingi.
Anyway, team Lumumba mmeshindaJ
Jamani matango pori yanalika, ila bila chumvi kwakweli ni kuuawana. Ni kama Nandy, saivi nyimbo zake naona ni kelele, hata kwenye simu yangu naziona ni mzigo, maana kwa kuvujisha utupu alidhani ndio kiki kumbe watanzania wa sasa sio wa miaka hiyo. Hata ukiangalia Hollywood, trend iliyopo sasahivi ni Mahakama, watu wanafukuzana na mahakama tuuu…mara kakamatwa, kesho anaripoti, mara jela miezi 3 n.k.. Trend za utupu hata nashangaa Diamond aliingiaje kingi.
Anyway, team Lumumba mmeshindaJ