si vibaya kuletwa kwa malanyingne kwakua tuendela kujifunza,mm binafsi nafikili kama kunaukatili unafanywa nakanisa,mungu hawez kubarikil jambo hlo viumbe wake kutofanya tendo landoa wakat yy ndiye ametuumba nakutupa hisia zatendo hilo,wacha azae sista kajichokea sheria za kanisa.
Inaonekana ni mtu muhimu sana ww had unapata taarifa nyiti hivi vipi haukulisema mapema jambo hl had hali inafikia hivi? weka namba yako ya simu uwekewe sarfet za hela.
Kuna hadith zisizo naukweli,sijui hadith nyingne walikua watu wanajitungiatu ili kumpa mzee umaarufu mm niliwah kusikia kuwa kunajamaa walikua wamefunga barabara kumsubili yeye alipokaribia eneo hlo eti akachukua nguo zatngo wagari akavaa akapita pale ndpo msafara wake ukafuata jamaa...
Unachosema nikweli lakn diwan huyo tayali amewekewa mkuu wamtaa wa CDM natayali mkuu huyo ameshaanza kuonyesha kufanyakaz na wanamtaa nasikuamua yeye binafsi kama mkuu wamtaa aliyetoswa maana alikua akifanya kaz kwakuongozwa na diwani namkewe ambaye nikatibu wa maccm kata.
Ndugu zangu wa jf,
Wakati tukiwa katka kutokomeza ujinga, diwani wa Kizota ametengeneza mazingira ya kuwafanya wanafunzi zaidi ya mia moja ambao walikuwa waanze masomo ya kidato cha kwanza kuendelea kubaki nyumbani kwa kukosa madarasa baada ya kumpa fundi kazi fundi wa kuezeka paa ambaye...
Ndugu zangu mnisaidie kunipa taarifa juu ya kukatiwa rufaa mwenyekiti wa Relini kupitia CHADEMA,
nimesikia kuwa aliyegombea uwenyekiti nakushindwa amekata rufaa nafanya mwenyekiti wa sasa kutakiwa kuripoti mahakamani na hii inaonekana nimipango ya diwani wa Kizota ili kujaribu kujinusulu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.