Wewe ni Mchepuko tu, wivu wa nini?

Wewe ni Mchepuko tu, wivu wa nini?

utatulia tu. namm nahakikisha huvurugi ila utalia kidogo na utakubali matokeo tu. Hivi unafikir kaz rahisi kunivurugia ndoa?
Ukiniletea vurugu zaidi nyumban utakumbana na vitasa

kama ulikuwa hutaki ndoa yako ivurugike ungekituliza
 
Amefeli qualification za mchepuko, piga chini vuta mchepuko mwingine. Mchepuko kazi yake ni kufukia mashimo ya nyumba kubwa ili ndoa idumu. Kama nyumba kubwa anaunguza shurti mchepuko ujue kupika etc. Etc...
Ukishajijua wewe ni mchepuko hutakiwi kuwa na wivu hata kidogo, tambua umepewa hisani tu! Mambo ya kumfuatilia mtu wakati ushajua ana mtu wake wa permanent ya nini! Unampigia simu usiku wa manane ili iweje? Unapekua simu yake ili iweje?
Jiangalie!
 
yaani umekuja kunitoa huku lol!!!Wivu lazima niwe nao nikiona kuna michepuko mingine..lol ninavyopenda competition mbona nitaharibu..am jus joking..
 
Hamna mtu asiyekuwa na wivu akikupenda so hata mchepuko unawivu km unakupenda so suala la kutokupiga cm usiku c unaongea nae tu
 
Just simple theory..."If A and B are equal and B happens to be equal to let say C, then automatically A is also equal to C". If you managed cheating your wife/husband with mchepuko, what will hinder/limit you cheating on your mchepuko with another girl/man/mchepuko?.
 
Ili kukwepa hayo tafuta anayechepuka kama ww wote muwe mnachepuka hakuna karaha kabisa.
 
Hahhahahhahaha.....kwa hiyo mchepuko ana nguvu kuliko mwenye mali
 
Ukishajijua wewe ni mchepuko hutakiwi kuwa na wivu hata kidogo, tambua umepewa hisani tu! Mambo ya kumfuatilia mtu wakati ushajua ana mtu wake wa permanent ya nini! Unampigia simu usiku wa manane ili iweje? Unapekua simu yake ili iweje?
Jiangalie!

mkuu ni shida,napata tabu sana na mchepuko wangu valentina
 
Ukishajijua wewe ni mchepuko hutakiwi kuwa na wivu hata kidogo, tambua umepewa hisani tu! Mambo ya kumfuatilia mtu wakati ushajua ana mtu wake wa permanent ya nini! Unampigia simu usiku wa manane ili iweje? Unapekua simu yake ili iweje?
Jiangalie!

Kwanza hil jina la mchepuko lupendi mm na ndo mana nabak njia kuu
 
Ili kukwepa hayo tafuta anayechepuka kama ww wote muwe mnachepuka hakuna karaha kabisa.

Mchepuko square...kila mtu ikifika usiku yuko busy na wake...
Ila wewe uko busy mwenzio kakumbatia mto...lazima upigiwe...
 
Kama ungekuwa unalijua hilo wala usingemtongoza. Nao ni wanawake kama huyo mkeo, wana roho ya kupenda na wivu kama mkeo. Ukitulia na mkeo sidhani kama shida hizi zitakukuta.
jf raha sana. jf never die.
 
wew baki tu njia kuu.acha wenye nazo wafaidi utamu wa nje.
 
Back
Top Bottom