Katika demokrasia kamili vyama vya siasa vinashinda kwa policy zake,ambazo zinawekwa kwenye manifesto na wananchi wanachagua wabunge/rais au PMs kutoka na policy hizo ambazo chama kinatakiwa kudeliver kikishinda uchaguzi.
Kwa bongo,hii haipo kwa sababu wananchi wetu wengi vijijini sio...
Wewe Unasupport serikali hii dhalimu,haifuati rule of law,imewakumbatia wachina,bila shaka unajua hata huko UK, wanaouza fake DVD ni Wachina. Hakuna taifa lingine.
Shimbo amepelekwa China kukamilisha uovu wa serikali hii,juzi juzi tu baada ya yeye kufika China eti tumenunua fighter jets,10%...
Rais wenu anatibiwa USA!
Waziri Mkuu medical check up UK
Waziri wa Fedha South Africa!
Gharama hizo zinaweza kujenga shule mahili na kuweka madawati.
Ndio maana wenzetu wanatuita MONKEYS,wanashindwa kuelewa kwa nini tunashindwa kusolve basic problems!
nyie ndio mnaitwa dickhead!
Rais wako amekwenda USA kutibiwa!Gharama shs ngapi?
Waziri wa Fedha tulisikia yuko South Africa kwa matibabu.
Hizo gharama zote nani analipa?mlipa kodi,ambae anatibiwa Muhimbili,hospitali ya Wanyonge
Yale yale !
Hii dini ni hatari katika karne hii ya 21.Inataka kuturudisha kwenye karne ya 6!
Wanaochoma makanisa ni nani?
Al Shabab na Al Qaeda kwenu ni wakristu?
Naona mnataka Taleban style life hapa Tanzania.
We mtu mwenye saizi 92 ya kiuno,unajaribu kupotosha wasomaji,lakini huwezi kufool watu waliosafiri na kuendelea kusoma international news.
Kuzomewa kwa Zuma ni kama ifuatavyo:
1.Poor leadership
2.Corruption ya black elites ,sijui unajua BEE(Black Economic Empowerement) policies?
Sasa hivi...
Mandela alielewa siasa za kidunia,na sio za kinchi.Alijua mchango wa makaburu kwenye nchi hiyo.
Tunakumbuka mafuriko makubwa ya Msumbiji,ni jeshi moja tu lilikuwa imara na kutoa helicopter za kijeshi for rescue purposes.
Tukumbuke Zambia ilikuwa na kambi za ANC,hata makaburu nafikiri...
Unajua Mugabe ,through jeshi lake aliua watu wa kabila la Ndebele yapata 20000?
"The Gukurahundi (Shona: "the early rain which washes away the chaff before the spring rains"[1]) was the brutal suppression of Zimbabwean civilians, mostly supporters of Joshua Nkomo, by Zimbabwe's 5th Brigade in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.