Recent content by Uchunjuba Punjubi

  1. U

    Usijaribu kukopa kwenye benki inajiita DCB, utakuwa umeingia kwenye mtego

    Regulator B.O.T sijui kwa nini watu huwa hamuwatumii? Adhabu za B.O.T kwa hizo Bank ni kubwa sana hivyo huwa wanaogopa saana. Unaweza kwenda kuwaona na watakupa maelekezo nini cha kufanya muhimu uwe na evidence za kukopa na ulifuata utaratibu. Watu huwa wanasumbuliwa sana na hasa hizi micro...
  2. U

    Time travelling kusafiri mbele au nyuma ya muda inawezekana?

    Hapo ndipo shida ilipo, yaani kama mtu alizaa nje ya ndoa na mtoto ameshakua inamaana akirudi nyuma akarekebisha makosa inamaana mtoto hatozaliwa, hiyo itaathiri vipi ulimwengu wa sasa ambao yule mtoto yupo tayari?
  3. U

    SoC01 Namna bora ya Waajiri kuwakomboa Watumishi wao na kadhia ya madeni katika Taasisi za Kifedha

    Nenda BOT mkuu hao wanaokukopesha wanakuumiza sana kama ndio hesabu wanakupigia kwa rate hizo, njoo DM nikuelekeze sehemu nzuri ya kukopa, kwa rate nzuri na ndio kimbilio la watumishi, ukikopa wewe naamini na wenzako watakuja.
  4. U

    Serikali kupitia BoT, iruhusu watumishi wa umma wanaolipwa posho za mwezi kukopa kupitia posho zao

    Sawa sawa mkuu, ikiwa hiyo 1/3 ndio limit ya kukopea kwa sababu ili angalau wabaki na pesa ya basic needs, lakini bado kwenye hizi micro finance organisations zinawakopesha mpaka wanaacha ATM card zao, wao wanakuwa wanalindwa na sheria ipi hao wakopeshaji wa kimtaa mtaa?
  5. U

    SoC01 Namna bora ya Waajiri kuwakomboa Watumishi wao na kadhia ya madeni katika Taasisi za Kifedha

    "Mathalani mtumishi anaweza kuwa awali alikopeshwa 10,000,000/=, ambapo deni zima likasoma 23,000,000/=, Baada ya miaka 3 akienda benki na kufanya top up, Hapa kwanza atauliza benki kiasi halisi anachodaiwa hadi kufikia muda huo. Hapa mabenki mengi huwa hawaongei ukweli, unaweza kuambiwa bado...
  6. U

    SoC01 Namna bora ya Waajiri kuwakomboa Watumishi wao na kadhia ya madeni katika Taasisi za Kifedha

    "Mathalani unaweza kukuta mkopaji amekopeshwa kiasi cha Tshs 1,000,000/= , lakini anaambiwa kwenye mkataba ajaze kakopeshwa 1,500,000 alafu anapigiwa riba ya mkopo kutoka hapo kwenye kiasi hicho ilihali mkononi kapewa 1,000,000 tu!" Huwa unakopa wapi mkuu unakopigwa hivi[emoji848]
  7. U

    Tuhuma za wizi wa kura ni nzito sana, zijibiwe kwa tafakuri ya kina

    Usipanick basi mkuu, si tunaelimishana tu? Suluhisho ni katiba mpya na si kingine kwa sasa
  8. U

    Tuhuma za wizi wa kura ni nzito sana, zijibiwe kwa tafakuri ya kina

    2015 ndio kaingia lakini kilio cha wizi wa kura na tume huru hakijaanza leo kwa Wapinzani, kama ni kupewa japo kidogo basi si tume ingeangalia nani wa kumpa na nani wa kumnyima, mfano kuna Wapinzani ambao ni machachari na wanaibana sana serikali, kwa nini tume isiyohuru isingewatoa hao na...
  9. U

    Tuhuma za wizi wa kura ni nzito sana, zijibiwe kwa tafakuri ya kina

    Samahani lakini, huwa najiuliza ikiwa Tume sio Huru na Haki, au inaiba kura, mbona maeneo mengine Wapinzani huwa Wanashinda? Kwa nini?
  10. U

    Anatafutwa Kijana kwa ajili ya kutengeneza juice ya miwa na matunda mengine.

    Shida itakuwa makazi mkuu, anatakiwa mtu awe anatoka kwao au kwake na kurudi.
  11. U

    Anatafutwa Kijana kwa ajili ya kutengeneza juice ya miwa na matunda mengine.

    Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, anatafutwa Kijana jinsia yeyote lakini ambaye anajua kutengeneza juice ya miwa na ya matunda mengine vizuri. - Awe muanifu. - Awe anaishi Dar es salaam - Awe anaweza kujisimamia mwenyewe - Awe anaweza kuvitunza vifaa vya kazi - Awe msafi ...mambo mengine ni...
  12. U

    KAZI TAYARI, CHANGAMOTO IPO KWENYE KUTAFUTA MWENZA WA MAISHA

    Karibu mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom