Wewe mbona unarukaruka sana- Answer real qns in a logical waySoma hii itakusaidia kupanua akili.
Utaratibu unaotaka mtumishi wa umma kubaki na walau moja ya tatu ya mshahara wake, haukufanyiwa utafiti wa kutosha na utaratibu huu umepitwa na wakati
Kwa mujibu wa sheria na kwa kuzingatia waraka wa serikali wa March 19,2009( waraka namba: C/CE 45/271/01/01/87), mtumishi wa umma hapaswi kukatwa zaidi ya theluthi mbili ya mshahara wake.Kwa maneno mengine, anatakiwa kubaki na walau moja ya tatu ya mshahara wake baada ya makato yote ya kisheria...www.jamiiforums.com