Recent content by uchungu

  1. uchungu

    Kelele na vumbi za Kiwanda cha Cement cha Kwa Mchina Kange ni uonevu kwa wananchi

    Siku za hivi karibuni kumekuwa na kelele kubwa sana kutoka kiwanda cha cement kwa mchina, kelele hii ni kubwa kiasi cha wakazi wa kange kutopata usingizi na kusikilizana mbali na kelele kumekuwa pia na vumbi kali sana la cement linaloharibu mabati pamoja na magari
  2. uchungu

    NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama

    Soma vizuri amesema kifaida NMB I aongeze na ni benki pekee kutoka tanzania inayoweza kushindana kimataifa
  3. uchungu

    Bado Km 51 ili Kigoma-Dar iwe lami. Rais Samia anaenda kuunganisha mikoa yote kwa lami

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Arusha to simiyu ambayo pia inafika musoma ni lami tuuu boss ilianza kujengwa siku nyingi na inapitika
  4. uchungu

    NEEMA KUU: Bwawa la Nyerere kuzalisha umeme wenye thamani sawa na 50% ya makusanyo ya TRA nchi nzima, (Trillion 12 kwa mwaka)

    Mtoa mada umedadavua vizuri sana ila sasa hujaweka expenses za kuendeshea hilo bwawa, tuwekee pia na gharama ya kuzalisha hiyo megawatt na risk associated na setback kama ukame n.k, kosa kubwa la wabongo wengi ni kuangalia kitakachopatikana pengine ukute uendeshaji una gharama zaid kuliko...
  5. uchungu

    Kweli uchawi upo Duniani Baleke sio wakumuweka Bench Mosses Phiri

    Hajapona vizur huyo mjue amekuwa majeruh kwa muda
  6. uchungu

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Huko odessa meli mbili za UK zimeliwa kichwa tusubiri article 5 tuone kama itafanya kazi
  7. uchungu

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Demilitarisation ya ukrane ishaisah kitambo sasa hiv ni Demilitarisation ya NATO, mpaka maghala yao yote yawe meupe!!
  8. uchungu

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Rais wa Germany ni nani na ni kwa nini hasikiki, nataka tujifunze tu taratibu namna nchi zinavyoendeshwa
  9. uchungu

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Umewah kumsikia waziri mkuu wa marekani akitajwa?
  10. uchungu

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kwa mtazamo wako ni nini kinawakwamisha kutoa silaha mathubuti kwa ukrane? Je tuamini wanaogopa majibu ya moto ya urusi?
  11. uchungu

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Wakati hii ngoma inaanza niliona kama OTAN wanataman kuingia vitan na Russia na niliona kama Russia anawaogopa flan hivi ila nnachokiona kwa sasa Russia anawatamani sana hao NATO waingie uwanjani!!
  12. uchungu

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Leopard, stingers, javelin, drone za turkey zile sijui zinaitwaje, man pad, himmers, patriot, bradley, na nyingine nyingi walizopewa na kuuziwa je ni silaha dhahifu?
  13. uchungu

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Nato haikuhusika Iraq, umejibu vyema kabisa sasa kama Marekani iliamua tu kuipiga Iraq na hakuna aliemzuia wala kumlaumu wala kumpa silaha iraq inakuwaje leo Russia anonekana gaidi na mwonevu pale ukrane? Kwanini hatukuona marekani anafanya makosa ya kibinadamu wakati ule, kwanini marekani...
Back
Top Bottom