Recent content by uchumi2018

  1. uchumi2018

    Kuna jamaa alisemaga humu eti ukifuha ng'ombe mmoja wa maziwa mwajiriwa wa serikali hakufikii😂 ila JF bana isifutwe aisee

    Sure,mzee alituingiza mkenge wa kudumu,akamalizia kwa kutunyima kuwa na lugha yoyote ya kimataifa,akatufunga na lugha ya pwani
  2. uchumi2018

    Mpira wa Afrika umevamiwa na Wamorocco, Waafrika tuungane kuukataa uhuni na ubanyamulenge wa nchi hii

    Waliotendewa hayo walalamike rasmi ili hatua stahiki zichukuliwe,wafutiwe ushiriki wao kwenye mpira wa miguu world wide
  3. uchumi2018

    Dark days 17/03/20

    Kusahau sio rahisi,kuna watu bado wana viatu na nguo za marehemu ndani
  4. uchumi2018

    Nunua gari kali, jenga ghorofa

    Amen,ila kuba kipande sijakupata kuhusu mtihani wa form two
  5. uchumi2018

    BRICS wamsaidie Ayatollah

    Ndo Maana tunasema mambo mengine yanahitaji kuona mbele sana. Kuimarisha uchumi bila kuwa imara kijeshi,ni sawa na kukunua dhahabu ukahifadhi kwenye jumba lisilo na milango wala madirisha
  6. uchumi2018

    Dkt. Bashiru anapata wapi ujasiri wa kufanya kazi na serikali hii ili hali Polepole haijulikani alipo!

    Wasomi wa tz binafsi wananichosha kama mzee mwandambo. Madokta na maprofesa,dah...
  7. uchumi2018

    Pigo walilokutana nalo Catherine Ruge, Susana Kiwanga, Moza Ally na Asha Madoga liwe fundisho kwa wasaliti

    Niliona aibu nilipowaona baadhi yao wakinadi sera za ubwabwa
  8. uchumi2018

    KERO Wanafunzi UDOM tunalipia gharama ya hosteli lakini ukikamilisha usajili unaambiwa vyumba vimejaa, tunalazimika kubebana

    Usisahau bima ya afya,mtu analipia lakini mpaka unaingia mwaka wa pili bila kupata kadi ya kuruhusu matibabu.Tuvumiliane
  9. uchumi2018

    Simbachawene unagomea maandamano ya "Wakatoliki" hutaki mama asafishwe?

    Mi sijaelewa,ina maana mheshimiwa ameachwa kwa kukataa maandamano? Mbona ngoma inayochezwa tangu miaka kadhaa iliyopita hadi sasa kolasi yake ni kukataa maandamano? Sasa hapo chawene kakosea wapi?
  10. uchumi2018

    Mwandishi awabana waumini aomba kuona uthibitisho kama kweli ni wakatoliki

    Hii ni dharau ,haiwezekani mambo ya FIFA hayapelekwi mahakamani lakini mambo ya kanisa yapelekwe,hao si walisema wameshitaki kwa papa? Sasa majibu ya papa yanasemaje?
  11. uchumi2018

    Nafikiria kuhama Catholic

    Hapo ni mwendo wa kubadilishana madhehebu.kuna wengine tunawaza kuhamia katoliki,mimi binafsi navutiwa sana na move Lao la kutetea haki.viva katoliki
  12. uchumi2018

    La Hassan Mwakinyo ni Unadhiri wa Amani wa Kuitoa Nchi kwenye Tanzi!

    Watu wa rohoni watakuelewa,aliyekuwa anapigana na mwakinyo alikuwa mbele yake,aliyenyuma yake anamwakilisha yeye mwenyewe. endapo amempiga na kumshinda tafakari inaanzia hapo
  13. uchumi2018

    Evarist Chahali: Good News, vita ya Samia na Dr. Nchimbi inaelekea kileleni

    Kwanini hayo yote usiyafanye wewe unawasukumia wenzio? Wewe sio mtanzania,au waliouawa wewe hawakuhusu? Tarehe 29 nchi nzima ilipata msiba wa kitaifa,wewe kama haukuhusu kaa kimya
  14. uchumi2018

    Utekaji ulianza mwaka 1989, Jaji Warioba akiwa Waziri Mkuu

    Point yako ni ipi mkuu,kwa hiyo kwa kuwa utekaji ulianza zamani watu wasipaze sauti waendelee kutekwa?
Back
Top Bottom