Inasemekana polisi wameshuka molari ya kufanya kazi maana Hangaya anawasemea shit Sana, kila kukicha mara ooh hawatendi haki kwa watuhumiwa, mara ooh wanakula rushwa....
Jumatatu iliyopita vijana wahalifu maarufu kama panya road wamevamia watu, wawaibia kisha kuwajeruhi kwa mapanga.
Mmoja wao kapigwa mapanga kichwani na kupoteza damu nyingi nusura apoteze maisha. Baada ya kujeruhiwa kaporwa simu na PESA nyingi.
Mwingine kaporwa simu, PESA na passport na...
Hivi masharti ya leseni ya urushaji matangazo ya redio ya TCRA inaruhusu vituo vya redio kuwa na michezo ya kubahatisha/kamari?
Maana kila redio ina kamari yake, Efm ,Clouds FM,Wasafi na sasa Radio One( Mchezo Supa).
Watangazaji wa redio hizo kila kipindi wamekuwa wanachezesha droo mwisho wa...
Hivi masharti ya leseni ya urushaji matangazo ya redio ya TCRA inaruhusu vituo vya redio kuwa na michezo ya kubahatisha/kamari?
Maana kila redio ina kamari yake, Efm ,Clouds FM,Wasafi na sasa Radio One( Mchezo Supa).
Watangazaji wa redio hizo kila kipindi wamekuwa wanachezesha droo mwisho wa...
Hivi nyinyi jeshi la polisi kwa nini hamuwakamati watu wanao mtukana hayati JPM?
Mmewezaji kuwakamata wahuni hawa JPM akiwa hai mshindwe sasa?
Matusi na dhihaka vimezidi kwa hayati Magufuli.Huu si utamaduni wa Waafrika kuwatukana wafu, JPM amefanya mengi kwa TAIFA hili.
Ni upumbavu...
Katika kanisa la Kuhani Musa wa Kimara Temboni siku ya Jumanne 12/04/2022 ,mwanafunzi wa kike,
umri wa miaka 16 anayesoma shule ya sekondari Kibasila amekiri kwa nyakati tofauti kufanya mapenzi na wanaume 600 na kuwaaambukiza HIV huku wengi wao wamefariki kwa HIV.
Amekiri amekuwa katika chama...
Bodaboda wa Dumila wazidishe umakini watakwisha.Vilevile nashauri wamiliki wa bodaboda wafunge GPS au tracking system kufuatilia pikipiki zao pale zinapoibiwa, waache ushamba.
Dar es Salaam pikipiki nyingi zina vifaa hivi hivyo wizi wa pikipiki umepungua.
Kumekuwepo taarifa ya matukio ya mauaji ya bodaboda mkoa wa Mtwara zaidi ya watano mwaka huu.
Bodaboda hao wanauawa kisha wanaporwa pikipiki zao.
Maiti za bodaboda hizi zimekuwa zikiokotwa maeneo tofauti baada ya kuporwa pikipiki.
Matukio ya mauaji ya bodaboda yamekuwa ya kawaida huku Polisi...
Kumekuwepo upigaji mkubwa wa pesa za mikopo ya 10% kwenye halmashauri mbalimbali nchini.
Pesa hizo zinazelenga kutolewa kwa makundi maalumu kama ya vijana,wanawake na walemavu.
Kashfa hiyo inawahusu viongozi wa CCM kuanzia ngazi ya chini kabisa kama wajumbe, wenyeviti na makatibu wa...
Haya mashtaka ya ugaidi wa Mbowe ni ya kupikwa....ndo Kwanza nisikie tuhuma za ugaidi.Ninachojua ugaidi ni network kubwa ndani na nje ya nchi.
Hivi katika ninyi nani aliyeshewahi sikia kwamba Mbowe ni gaidi?
Amefanya tukio gani kubwa la kigaidi katika nchi hii? Ana mahusiano na Boko Haram? Al...
Hii kesi ya mchongo...haingii akilini eti makomandoo na wanajeshi wastaafu wajiingize katika matatizo na serikali kwa kutumiwa kufanya vitendo vya ugaidi na Mbowe...huku wakijua nchi hii in intelligence kali.Nani akubali apoteze haki zake zote za kiutumishi kwa kumtumikia mtu mdogo sana kama...
Hii kesi ya mchongo...haingii akilini eti makomandoo na wanajeshi wastaafu wajiingize katika matatizo na serikali kwa kutumiwa kufanya vitendo vya ugaidi na Mbowe...huku wakijua nchi hii in intelligence kali.Nani akubali apoteze haki zake zote za kiutumishi kwa kumtumikia mtu mdogo sana kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.