Wewe ni mchonganishi tu, huna lolote.
Nukuu hujaielewa lakini unataka kuleta Vita ya Urais.
Bahati nzuri Stephen Wasira amejaliwa hekima na akili nyingi hawezi kuyumba kwa maandishi ya Kitchen party.
Wasira ni kada wa CCM mwenye nguvu ndani na Nje ya Chama ndio maana jina lake linapewa...
Kwani hijaelewa nini mkuu.
Kuna Mabepali.
Kuna Matapeli.
Kuna Mabepali Matapeli
Kuna Matapeli wasio Mabepali na hawa ni wengi.
Hapo umeelewa? Wala sijachanganya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.