Kama engine Yako niyakufanyia overhaul nione nikufanyie, Mimi ni mtaalam wa hizo gari na itatulia Sana. Ila kama unataka engine ya used kwa hapa bongo nenda pale temeke kwa sokota pale unapata engine ya uhakika %100
Ni kweli pia hakuna mtu atakatia bima gari yake mpya aipeleke kule wakati barabara ni mbovu.,magari mengi ya kule ni yale yaliowashinda wamiliki kubaki njia juu (lami) yaliyokosa bima na vibali vinginevyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.