Recent content by Ubumwiichinguru

  1. Ubumwiichinguru

    Harmonize kafunika sherehe ya Yanga leo

    Subiria kesho tutakuonyesha kama Yanga Bingwa
  2. Ubumwiichinguru

    Bongo kuna shule yenye sifa ya kufundisha nilie na degree ya Havard University?

    Umesoma havard University alafu hujui hata pa kuipeleka degree Yako...nenda shule ya kata tu kajitolee nafasi za tamisemi zikitoka uombe
  3. Ubumwiichinguru

    Inachukua muda gani kupata mafao ya kuacha kazi NSSF?

    Condition ni End of contract au redundancy ...ukiacha kazi hulipwi..mpaka 55
  4. Ubumwiichinguru

    Yanga yazindua kadi za kidigitali zitazokuwa zinatumiwa na Wanachama

    Mnaendeleaje makolo !! Tunaaproach 50,000 members now..tunaenda Kusajiri mashabiki now .. transformation inaenda vizuri step by step...mtakuja kushtuka tumewaacha mbali na mabadiliko yenu ya chupli
  5. Ubumwiichinguru

    Simba yaingia mkataba na Equity Bank kwenye card za Uanachama Simba

    Pale hamna transformation,mambo ni business as usual Mudi alitumia mafanikio ya Simba kuspeed up take over but club kama imepolwa...
  6. Ubumwiichinguru

    Inachukua muda gani kupata mafao ya kuacha kazi NSSF?

    Baada ya kufile claims ie( kukamilisha form zote na taratibu zako zote) Inachukua wiki 3 mpaka mwezi kama michango Yako Haina tatizo lolote. 👍
  7. Ubumwiichinguru

    Simba yaingia mkataba na Equity Bank kwenye card za Uanachama Simba

    Makolo wenzangu hivi hili zoezi liliishia wapi Maana hatujui hata wanachama wangapi walijiandikisha na kama linaendelea
  8. Ubumwiichinguru

    Baada ya Injinia Hersi Said kuchukua Fomu Yanga SC taratibu 'ANGUKO' la Yanga SC naanza kuliona kwa mbali

    Mikia wameshikwa pabaya ,wanatoa Milio TU now ... investment ya Manji Era iliwatesa sana...Sasa Yanga imara, Transformation,GSM kashika dimba hofu imewashika
  9. Ubumwiichinguru

    Je, GSM imeamua kuipora Yanga mikononi mwa Wanachama?

    Mbumbumbu hawawezi kuelewa hapa
Back
Top Bottom