Unachokisema ni sahihi kabisa, Huyu bwana Sabavinius kazoea, na siyo yeye tuu, mwingine aliyekuwa na tabia hiyo sasa hivi kapata uteuzi siwezi kumtaja na alikuwa ofisi moja na Sabavenius, walikomesha Sana wanafunzi.
DOT YLP ni leadship program ambayo sisi tulikuwa waanzilishi last year, Lengo la program hii ni kuwandaa vijana ili wawe viongozi wazuri kwenye jamii wanayotoka, no program nzuri Sana na unaisoma online lakini kuna wakati itakulazimu uhudhurie face to face session na wanaprovide lunch.
Tanzania watu wanaochumia tumbo wapo wengi na Juliana Shonza anakera kwakweli, hivi mwenzie Mtela Mwampamba keshareport kazin? Hebu nendeni ofisini mkathibitishe kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.