Recent content by ubma

  1. ubma

    Yanayoendelea chuo kikuu St John's tawi la Malapa Buguruni yanahitaji hatua za haraka

    Unachokisema ni sahihi kabisa, Huyu bwana Sabavinius kazoea, na siyo yeye tuu, mwingine aliyekuwa na tabia hiyo sasa hivi kapata uteuzi siwezi kumtaja na alikuwa ofisi moja na Sabavenius, walikomesha Sana wanafunzi.
  2. ubma

    MSAADA: Kuhusu DOT Tanzania - Youth Leadership Program(YLP)

    DOT YLP ni leadship program ambayo sisi tulikuwa waanzilishi last year, Lengo la program hii ni kuwandaa vijana ili wawe viongozi wazuri kwenye jamii wanayotoka, no program nzuri Sana na unaisoma online lakini kuna wakati itakulazimu uhudhurie face to face session na wanaprovide lunch.
  3. ubma

    Prof. Mark Mwandosya na Eston Mwangilangwa DC Rungwe mnaihujumu CCM

    Eston Ngilangwa ni DED wa halmashauri ya Busokelo. Sizani kama kuna Eston Ngilangwa wawili
  4. ubma

    Kwa wanaojua hii kitu (rupia)

    Mkuu kuna ndugu yangu ana rupia ya Costa Rica, je unaweza kumsaidia soko lake?
  5. ubma

    Madhara makubwa watakayopata Chama Tawala baada ya msanii Wema kuhamia CHADEMA

    Ni kweli kabisa ila ccm watajifanya hawalioni hili
  6. ubma

    Siasa za Tanzania -Bendera na kadi zapangwa kuchomwa U/Taifa

    Haina mashiko hii thread
  7. ubma

    Mke wangu analia sana wakati wa tendo

    [emoji23][emoji23]
  8. ubma

    Waraka wa Mbunge Elibariki Kingu kwa Wabunge CCM kuhusu fao la kujitoa

    Huyu Mbunge atakuwa na matatizo siyo bure, yaani pesa zetu ndiyo mkajengee viwanda kwanini msichukue posho na viinua mgongo vya wabunge?
  9. ubma

    Mhe. Rais Magufuli ziba masikio usisikilize upuuzi,sikiliza wimbo wa maendeleo tu

    Siku zote aliyeshiba hamjui mwenye njaa na ngoma ikilia sana mwishowe hupasuka, urais ni taaasis siyo wa ccm hivyo acheni ubabe
  10. ubma

    Juliana Shonza, tueleze kama CCM umefuata siasa au unafiki?

    Tanzania watu wanaochumia tumbo wapo wengi na Juliana Shonza anakera kwakweli, hivi mwenzie Mtela Mwampamba keshareport kazin? Hebu nendeni ofisini mkathibitishe kwanza
Back
Top Bottom