Omuchimati
JF-Expert Member
- Aug 23, 2014
- 427
- 202
Mhe mpendwa rais wangu nakuja tena baada ya kunyamaza kimya kwa mda, nilikuwa nahangaika kidogo na mambo ya dunia na kuweka sawa mambo ya kifamilia ya hapa na pale, wakati nahanagaika nilisikia mbiu , mbiu amabayo ujumbe wake siukuelewa vizuri , mbiu ambayo ilinistua kidogo, lakini baada ya kuitathmini nikaona sio kama ile ya nabii ISAYA amabyo alitabiri ujio wa kristo "ufalme uatakuwa mabegani kwake", nikitafakari tena nikagundua pia haifanani na ile ya YOHANA MBATIZAJI " tubuni maana ufalme wake unakaribia, nami sina hata uthubutu wa kufunga gidamu za viatu vyake"
Kwanini nimeanza kwa maneno haya , manabii wa kweli walihubiri dhana ya unyenyekevu na kuwa tayari kuishi bila mawaaa ili ufalmae wa Mungu utakapowafikia wanadamu waweze kuufasiri na kusema naam, hakika huyu ndie, hakika ndie alieletwa kutengeneza njia na kufanya amani, wapo kweli wengi wa namna hiyo lakini penye njema hapakosekani ovu siku zote, na penye amani faraka utafuta nguvu ili iweze kuharibu amani iliyopo,
Mhe Rais wapinzani (CHADEMA) wamechukua pesa za wafadhili ni lazima zifanye kazi , badala ya kuhamasisisha maendeleo, wanahamasisha vurugu, ndilo lengo la fedha hizo, zimetoka kwenye mataifa amabayo yamejaa husuda na chuki zisizo na misingi kwa lengo tu la kubomoa misingi imara iliowekwa na waasisi wa nchi yetu, wanatamani siku moja wakituona tukichinjaana kama wanyama, tukidhalilika na kuwaomba waje watulinde kama wanyama kama wanavyofanya Congo, sudan, Somalia, huku wakipora na kuchukua rasilimali zetu bila kuhojiwa, ni ushenzi tu ambao hauna ubinadamu ndani yake.
Mhe, Rais wangu mpendwa John Magufuli, tofauti na unabii wa nabiii ISAYA,au ule wa Yohana Mbatizaji ni kwamba unabii wa chadema ni wa kuandaa machafuko, fimbo ya chuma uliokabidhiwa Mhe RAIS usiache ikamate sawasawa walikukabidhi wananchi wenyewe itumie vizuri,hata mwana akikosea ni ruksa kumtandika bakora, na wote ni wanao , ziba masikio watandike bakora mpaka hapo watakapoelewa kuwa nyumba ina kiongozi wake ambae ni Baba,MUNGU IBARIKI TANZANIA, VIVA JPM.
Kwanini nimeanza kwa maneno haya , manabii wa kweli walihubiri dhana ya unyenyekevu na kuwa tayari kuishi bila mawaaa ili ufalmae wa Mungu utakapowafikia wanadamu waweze kuufasiri na kusema naam, hakika huyu ndie, hakika ndie alieletwa kutengeneza njia na kufanya amani, wapo kweli wengi wa namna hiyo lakini penye njema hapakosekani ovu siku zote, na penye amani faraka utafuta nguvu ili iweze kuharibu amani iliyopo,
Mhe Rais wapinzani (CHADEMA) wamechukua pesa za wafadhili ni lazima zifanye kazi , badala ya kuhamasisisha maendeleo, wanahamasisha vurugu, ndilo lengo la fedha hizo, zimetoka kwenye mataifa amabayo yamejaa husuda na chuki zisizo na misingi kwa lengo tu la kubomoa misingi imara iliowekwa na waasisi wa nchi yetu, wanatamani siku moja wakituona tukichinjaana kama wanyama, tukidhalilika na kuwaomba waje watulinde kama wanyama kama wanavyofanya Congo, sudan, Somalia, huku wakipora na kuchukua rasilimali zetu bila kuhojiwa, ni ushenzi tu ambao hauna ubinadamu ndani yake.
Mhe, Rais wangu mpendwa John Magufuli, tofauti na unabii wa nabiii ISAYA,au ule wa Yohana Mbatizaji ni kwamba unabii wa chadema ni wa kuandaa machafuko, fimbo ya chuma uliokabidhiwa Mhe RAIS usiache ikamate sawasawa walikukabidhi wananchi wenyewe itumie vizuri,hata mwana akikosea ni ruksa kumtandika bakora, na wote ni wanao , ziba masikio watandike bakora mpaka hapo watakapoelewa kuwa nyumba ina kiongozi wake ambae ni Baba,MUNGU IBARIKI TANZANIA, VIVA JPM.