Mtaani wananita shoga hadi maeneo nayofanyia kazi, shule niliyomaliza kisa nimendelea kiuchumi halafu ni mtoto wa miaka 18.
Wanajua nafanya kazi lakini wanasema kazi yangu ya kuweka nyimbo kwenye flash haina hela mi hela natoa wapi wakati mi hela napata kwenye biashara yangu.
Ushauri nifanyeje
Naamini wote wazima,
Twende kwenye pamoja mimi nina mwanamke ambaye nipo nae mwaka mmoja sasa toka tuwe mtu na mpenzi wake sasa leo yamenikuta mpenzi wangu ana kaka yake ambaye mtoto wa mjomba yake.
Sasa siku kazaa za nyuma mpenzi wangu aliniambia kua kaka akikuuliza mmeachana mwambie ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.