Naamini wote wazima,
Twende kwenye pamoja mimi nina mwanamke ambaye nipo nae mwaka mmoja sasa toka tuwe mtu na mpenzi wake sasa leo yamenikuta mpenzi wangu ana kaka yake ambaye mtoto wa mjomba yake.
Sasa siku kazaa za nyuma mpenzi wangu aliniambia kua kaka akikuuliza mmeachana mwambie ndio kutokana hali ya nyumbani sitaki ajue basi nilifanya hivyo sasa kila nikukutana na kaka yake ananiambia kua dada anatoka na mshikaji mshua mmoja ivi.
Hata kama na mimi ni mtoto wa kishua nikawa mamuita nikiwa moyoni naamini kua ni uongo sababu anatabia ya uongo uongo sometimes.
Sasa leo kanifuata na pikipiki kanambia oya twende kwa shemeji nikabebe hela kuna hela ninashida nayo nimemuomba anisaidie ameniambia nikachukue kwao twende na wewe ukamuone maana si unanibishia basi tukaaza safari ya kuelekea kula hatimae tukafikia tukakutana na mshikaji duh aisee!
Hasira ilinikamata sema ndio hivyo kiumeume nikajikaza nikatoa hai pale freshi jamaa katoa kufika pale oh shemeji nini na nini si unajuaga ukikutanaga na shemeji yako mbwembwe basi akapewa ile hela tukaondoka.
Kwakweli huyo mwanamke nilimpenda sana tena sana nimerudi home kichwa kinaniuma lakini nimejikaza tu kuandika huu uzi ili nipate ushauri nifanyeje maana bado hata sijamtimia SMS wala kumuuliza wakuu.
Twende kwenye pamoja mimi nina mwanamke ambaye nipo nae mwaka mmoja sasa toka tuwe mtu na mpenzi wake sasa leo yamenikuta mpenzi wangu ana kaka yake ambaye mtoto wa mjomba yake.
Sasa siku kazaa za nyuma mpenzi wangu aliniambia kua kaka akikuuliza mmeachana mwambie ndio kutokana hali ya nyumbani sitaki ajue basi nilifanya hivyo sasa kila nikukutana na kaka yake ananiambia kua dada anatoka na mshikaji mshua mmoja ivi.
Hata kama na mimi ni mtoto wa kishua nikawa mamuita nikiwa moyoni naamini kua ni uongo sababu anatabia ya uongo uongo sometimes.
Sasa leo kanifuata na pikipiki kanambia oya twende kwa shemeji nikabebe hela kuna hela ninashida nayo nimemuomba anisaidie ameniambia nikachukue kwao twende na wewe ukamuone maana si unanibishia basi tukaaza safari ya kuelekea kula hatimae tukafikia tukakutana na mshikaji duh aisee!
Hasira ilinikamata sema ndio hivyo kiumeume nikajikaza nikatoa hai pale freshi jamaa katoa kufika pale oh shemeji nini na nini si unajuaga ukikutanaga na shemeji yako mbwembwe basi akapewa ile hela tukaondoka.
Kwakweli huyo mwanamke nilimpenda sana tena sana nimerudi home kichwa kinaniuma lakini nimejikaza tu kuandika huu uzi ili nipate ushauri nifanyeje maana bado hata sijamtimia SMS wala kumuuliza wakuu.