What abt Membe? Anazo pesa za kutosha? Kazipataje?
Wasi wasi wangu ni kuwa kama January Makamba alimpita Membe kwa kura ndani ya CCM mpaka first family ikambeba ina maaana we have a problem with the remaining candidate aka Membe
Au mnaonaje?
Nakushauri upitie ule uzi wa Uhuru Kenyatta humu kishabtazama ile youtube video kuanzia dakika ya 35 na kuendelea utapata jibu lako.
Na ukitaka kujua kama sisi wa Tanzania tunatisha google Mo Ibrahim + Omari Issa
Hapo ndio utaelewa kama tumerogwa.
Na kinachosikitisha zaidi 99% ya mijadala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.