Mzee baba nilikuwa na contacts zake. But tukapotezana baadaya ya kubadili namba.
Nilipofika home niliwasiliana nae sana ,hasa kipindi nakaribia kujiunga na chuo.
I miss you Mary kivuyo.....she was so pretty and lovely woman,I have ever mate before her.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa mwaka 2012, miezi ya Mwanzoni Natoka znagu ,shuleni baada ya kumaliza mitihani ya kidato cha sita.
Kwenye basi La Ibra Nation. Alipanda bint mmoja Stendi Ya moshi Mjini.
Aiseee Binti alikuwa mrembo haswa , white flan hivi anashape bomba sana , alivaaa track ya Man u na jearsy ya Man u...
Since darasa la NNE ,kuna wahuni walitaka nipoteza wakisi nitafeli class ,kumbe ndio waliniongezea starter,
Through weed aisee ,nilikichafua mbaya from , pale mpaka mauni ...
Weed ni flavor weeed ni mzuka haswaaa ,
I will never ever betray weed , inanipa madini inanipa nguvu afya pia ...
Nakimbuka darasa la sita... Kuna sister alikuwa ananipenda balaa ,mpaka akaamua kunitumia best yake nkachomoa ,then akaamua kuja mwenyewe !! Daaah nikimmaind sana ..maana niliona ananitia nuksi na makofi nilimpatia ,!!! Daaah Aisha popote ulipo nimeshakubali lile ombi lako ule ulikuwa utoto ,tuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.