kwani pua abani kweli? hiko ndiyo kitu pekee toka aanze tasnia hii,na hayupo flexible kabisa.Na ni kweli kwa sasa sijaona rnb artist waku mfikia Bienaimesol east africa..
Did you know that USAID, using YOUR tax dollars, funded bioweapon research, including COVID-19, that killed millions of people? x.com
— Elon Musk (ElonMusk) February 2, 2025
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/wanafunzi-watekwa-kwenye-gari-la-shule-mtekaji-ataka-fedha-4915102
Muktasari:
Tukio hilo limetokea saa 12 asubuhi ya leo Jumatano Februari 5, 2025 eneo la Kapri Point jijini Mwanza baada ya mtuhumiwa kupewa lifti kwenye basi la shule lililokuwa...
Swali zuri: hamna ubaya wowote,kwanza niku kumbushe tu mbwa asilia yake ni carnivores,hii tabia yaku pikia mbwa ni mazoea tu na sijui vyakula vya supermarket hayo ni mambo ya biashara tu.mie nina ozefu na swala hili nimeishi na mbwa wangu zaidi ya 10yrs hadi alipo kufa na uzee(kwa sasa sifugi...
Swali zuri: hamna ubaya wowote,kwanza niku kumbushe tu mbwa asilia yake ni carnivores,hii tabia yaku pikia mbwa ni mazoea tu na sijui vyakula vya supermarket hayo ni mambo ya biashara tu.mie nina ozefu na swala hili nimeishi na mbwa wangu zaidi ya 10yrs hadi alipo kufa na uzee(kwa sasa sifugi...
CV yake siyo level ya Yanga,bora Gambondi angebaki.Al-hilal hawa kucheza ligi misimu miwil,sasa wanacheza mauritian lakini wame fameyana vizuri.CV yake ni ya kawaida sana,uongozi uliingia cha kike na mashabiki wakajaa na propaganda za gusa twenda kwao xiewwww
mie siangalii sana matokeo ya mpira,kuna fursa hapa, wenye bolt, nyumba zaku pangisha huu ni mdaa waku piga hela ..hata unaye kaa nyumba yaku panga, acha nyumba pangisha kwa $
huwaga nafuatilia siasa kama raia wengine wa kawaida lakini sija wahi haswa kufuatilia vyama vya siasa.Naona mambo yako very complicated haswa ndani ya CDM labda kwa kuwa yao wame amua kuyeweka wazi.Juzi niliangalia mdahara startv ule chief odemba na mashabiki wa lissu na mbowe.Nime ufuatilia...
mie pia sielewi, nadhani kama lengo ni hilo si huwaga wana takiwa kutumiwa watu wa chama!! navyo jua mie chama tawala ni taasisi kubwa hamna mtu aliye/anaye weza kuwa juu ya mipango ya hiko chama, sasa iweje huyo sijui abdu atumike?
kama nime elewa vizuri, ni kwamba kamati kuu ilipotezea hilo swala za rushwa ya abdul, na naona kwamba mwenye kiti wa cdm ana pigiwa kura na haohao. sasa hapo ina kuaje? na vp kuhusu kupeleka mala miko yake tatukuru ama vyombo vyovyote husika? hata kama anahisi hamna haki yoyote kule, si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.