Recent content by TZ-1

  1. TZ-1

    Kwanini Wachekeshaji wengi wa kiume wanavaa kama wanawake kwenye kazi zao?

    Sio mbaya mara chache ila kwa mara nyingi hiyo ni mbaya inamaana sio m-bunifu wa kazi yake
  2. TZ-1

    Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

    Wajing ndio waliwao Kam havunji sheria kazi iendelee
  3. TZ-1

    Mtoto wangu ana baba wawili

    Tafuta mashehe wale wanaotumia vtabu , n chapu tuu anakujbu baada ya kumuulza
  4. TZ-1

    Mtoto wangu ana baba wawili

    Yes hizo ni cheap na ndio msema kweli 🥸🥸
  5. TZ-1

    Twende mbele, turudi nyuma: Nchi za wenzetu zilizoendelea wanapiga kazi

    Hata mimi huwa na jamaa zangu matajfa kadhaa huwa busy sana na kunielez huko c lelemama
  6. TZ-1

    INAUZWA Vitu vya ndani vinauzwa bei nafuu

    Kitanda sijaona
  7. TZ-1

    Mwenye kufahamu sehemu ambayo kuna chuo ama shule ya atheist (non-believers) anisaidie

    Kuamin hamna mungu na unatK kupata elimu mean kuwa kuna elimu ya kukufany uMin hamna mungu kuna watakachokuaminisha
  8. TZ-1

    Nataka kuuza nyumba, viwanja, gari na vitu vyote vya ndani nirudi bara kuanza upya kutoka Zanzibar

    Ni vyem kuhama huko hasa kam utategea kaz za watu wa zanzbr wata kunyanyasa
  9. TZ-1

    Mtoto wangu ana baba wawili

    Kam ulipg hesabu za mtoto kujifung Tareh x mwez x na ikawa bas n wako NO 2. Kafanye DNA za kienyeji
  10. TZ-1

    Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

    Tunasubir come back yako hapa🥸🥸🥋🥋🥋📌💙
  11. TZ-1

    Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

    Bila shaka upo nyumba ya kupanga , Mkuu si ujihamishe Kimyah Kimyah tuu, chukua nguo muhm vyeti vyako , amisha kimoja kimoja , unahamisha shati na suruali Kimyah Kimyah , then unanua mitumba unaweka ndan ,then ongeza upendo aone unampen (ndan ya miez 2 /3 unajiamisha taratbu then gafla unapotea...
  12. TZ-1

    Inasikitisha mno, hali siyo nzuri kabisa kuhusu wastaafu

    Changamoto mfumo wa maisha yalivyo. Unastaafu unawategemez (unasomesha) na kuhudumia familia yenye watu 6/10 means kwamba ata kias utachopat kitaaisha hasa kam hukuw na biashara ukiw kazn
Back
Top Bottom