Bila shaka upo nyumba ya kupanga ,
Mkuu si ujihamishe Kimyah Kimyah tuu, chukua nguo muhm vyeti vyako , amisha kimoja kimoja , unahamisha shati na suruali Kimyah Kimyah , then unanua mitumba unaweka ndan ,then ongeza upendo aone unampen (ndan ya miez 2 /3 unajiamisha taratbu then gafla unapotea...
Changamoto mfumo wa maisha yalivyo. Unastaafu unawategemez (unasomesha) na kuhudumia familia yenye watu 6/10 means kwamba ata kias utachopat kitaaisha hasa kam hukuw na biashara ukiw kazn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.