Recent content by TZ-1

  1. TZ-1

    JamiiForums Tanzania Nina miaka 30 na mshahara wangu ni 250k je nitaweza kutoboa?

    Lazima aanze kuchukua hatua
  2. TZ-1

    JamiiForums Tanzania Nina miaka 30 na mshahara wangu ni 250k je nitaweza kutoboa?

    Kwa situation ya sasa is very tough hapo na hizo shule zinavyowabana saa 1 hadi saa 10/11 ila you have a way Hakikisha una save balance VZR unaanza kufanya biashara ndogo ndogo, Achan na mahusiano hasa ambayo ni tegemezi kiuchumi
  3. TZ-1

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa Kikenya arekodi na kusambaza video mwajiri wake akijaribu kumnyanyasa kingono jikoni huko nchini Saudia (video imeambatanishwa)

    Babu wa familia (sizan kama ni boss) alitaka kuipachika tuu na kumwagia bila ridhaaa🚦🤔 Na ameshik kibunda mkononi cha kumtuliza ila dada amekataaa OFA
  4. TZ-1

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Nimetembea Kilometa 80 kwenda shule

    Kwenda na kurud au kwenda tuu , 😊 KUna zile shule za bweni unazisafiria kuhamia
  5. TZ-1

    JamiiForums Tanzania Tanzania yashuka nafasi 22 kwenye Viwango vya Uhuru wa Habari Duniani. Hali ni mbaya!

    Israel 116 Wamekufa 1780 wamekufa 8🤔🪜
  6. TZ-1

    JamiiForums Tanzania Kwa kilichotokea jana, nisameheni tu wana JF

    Stori/taarf n kam c kam kamilifu
  7. TZ-1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamaa asomba kila kitu aluchomnunulia mpenzi wake ikiwa ni pamoja na mapazia baada ya binti huyo kusitisha mahusiano hayo ghafla

    Kwani kurudisha Cha MTU alichokupa kwa minajiri ya kimapenz n vta
  8. TZ-1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamaa asomba kila kitu aluchomnunulia mpenzi wake ikiwa ni pamoja na mapazia baada ya binti huyo kusitisha mahusiano hayo ghafla

    Mkiachan ndio utajua ukichaa wa Mtu😐🔐
  9. TZ-1

    JamiiForums Tanzania Trafiki Arusha mmezidi

    Jamaa anapenda wapambe na kufatwa fatwa🔐😐
  10. TZ-1

    JamiiForums Tanzania Mtandaoni kila mtu daktari, Figo Figo mna uhakika?

    Ila kwa lifestyle ya pombe yaweza kuwa ndio kituo kinachofata
  11. TZ-1

    JamiiForums Tanzania Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

    Mungu aendelee kumtunz kulinda na kumjenga ktk imani ya kweli
  12. TZ-1

    JamiiForums Tanzania Bei mpya za Mafuta mwezi Mei zatangazwa, Petroli yazidi kupanda hadi 4115, Diseli 4248

    Hadi January mwakn 2027 Tutaimba na kucfu lugha Moja kama Taifa. ila uzuri wa hii Changamoto kufika 2030 itatupeleka kwenye mafanikio ya matumiz ya nishati ya umeme na Gesi kwenye vyombo vya usafiri kufikia 15-30%
  13. TZ-1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, inaruhusiwa kukutana kimwili na wake zako wote kwa wakati mmoja katika kitanda kimoja?

    Wake ni wako wote wawili unataka ushauri/maamuzi kwenye jambo la msingi la uwepo wenu,
Back
Top Bottom