Habari
Nakumbuka nikiwa MUHAS mwaka wa kwanza miaka kadhaa iliopita, tulifanya uchunguzi kuhusu ubora wa maji yapatikanayo TZ,(in the aspects of presence of microbes in the water and not ph level)
Tuligundua kwamba Kilimanjaro yalikuwa na ubora wa juu zaidi yakifuatwa na uhai lakini yote...
Habari
Hiyo ni genetic disorder ijulikanayo kama "down syndrome" na zile sura zao za kufanana zinajuilikana kama "Mongolian face"
Tatizo hili huwapata kwa asilimia kubwa watoto wa wanawake wanaozaa ktk umri mkubwa(above 40)
Hakuna scientific avidence ktk hili hadi leo lakini inasekana hii...
Habari,
Sio kweli kwamba wazanzibari hawawakubali wabara katika elimu ya dini na ndio mana watu kama shk Ponda, Ust Luanda Marehem Imani Petro na wengine wengi wamekuwa wakiheshimika sana ZNZ. Zanzibar kunakuwa kunafanyika makongamano ya kidini ambayo mara nyingi yanahudhuriwa na masheikh...
Habari
Labda nikusaidie bwana mdogo. Huyo kijana amesoma ama kusikia kwamba
1) Osama alikuwa rafiki wa marekani, pia kulikuwa na uhusiano wa kibiashara baina ya makampuni ya baba wa Osama na yale ya aliekuwa makamo wa raisi katika utawala wa Bush, bwana Dick Cheney, na Osama alipata mafunzo ya...
Habari
Naamini wewe ni msomi lakini elimu yako haikusadii,hivi huo ndio ufafanuzi wa hayo yanayo mtatiza huyo kijana? Kama haujui ni vyema ukakaa kimya.
Habari
Ndugu wewe umenena vyema
Watanzania tunapaswa kuwa makini
Hawa wavimba matumba wanataka kuzihamishia akili zetu kwenye mambo ambayo ni nonsense.
Sawa mti umesimama then what?
Habari
Niliwahi soma na jamaa mmoja ambae alitokea Mara (Mkuria) Yeye anasema katika kabila lao ilikuwa ni Fahari iwapo katika familia kuna mtu ambae ni Polisi, Mwanajeshi au Daktari, hizo ni fani za heshima sana kwa watu wa kabila la Wakuria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.