“Muendelee kuniombea ili cheo changu cha Urais kikajenge umoja wa Tanzania, mniombee ili nisiwe na kiburi kwa kutumia cheo changu cha urais, mniombee niwe mtumishi wenu ndugu zangu watanzania- @MagufuliJP
Kigogo wa China amesema hawana lengo na hawataki kuwa fanya watumwa tena. Kwa maana wa Africa wengi mmeingiwa hofu ya “kwanini wanatupa misaada bila masharti magumu kama wengine?” Misaada mingi toka kwa wachina imekuwa ikisemwa kuwa ina masharti sawa na bure kiasi cha kuwajengea hofu wa Africa...
Kigogo wa China amesema hawana lengo na hawataki kuwa fanya watumwa tena. Kwa maana wa Africa wengi mmeingiwa hofu ya “kwanini wanatupa misaada bila masharti magumu kama wengine?” Misaada mingi toka kwa wachina imekuwa ikisemwa kuwa ina masharti sawa na bure kiasi cha kuwajengea hofu wa Africa...
Wadau!
Nimemsikia mkuru flani wa TCRA anasema kila fundi simu, Redio na Tv kuwa na leseni ya TCRA. Pia akaongeza kuwa na wauzaji waote wa vifaa hivi wawe na leseni hiyo (means ya biashara na ya TCRA).
Je leseni hizi zinatoka bure au nazo zinahitajika bakshishi?
Two sided Response:
1. Huenda watu hao washakufahamu kuwa wewe ni mfuasi wake hivyo hawataki kupingana nawe kwa sababu flani flani. Ni sawa na mlinzi wa kazini kwangu nikipita ananiomba Tshs500 ya kahawa halafu mie nampa 1000/= hata niseme nini hawezi nipinga.
2. Hawawezi kumpinga wakati...
Kuna mda huwa nawaza sie watanzania ni viumbe wa sayari gani, tupendao madaraka hata kama ni ya aibu kiasi gani. Sidhani kama kujiuzulu ni dhambi kwa utu na heshima yako binafsi.
1. Umeteuliwa, ukaingia ofisini kisha ukagundua huendani na philosophy ya mkuru.
2. Unaamua kujipendekeza hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.