Vumilia tu ila ucmruhusu kusafir tena kama amekaribia kujifungua, hakuna mwanamke anaependa hali hiz za usumbuf kwa wame zao zitokee wakt wa ujauzto ila amin nakwambia hua zinakuja automatically na zinatesa sana asikwambie mtu, wanawake tunashida sana na ukutaka umwonee huruma zaid mkeo jaribu...
Ucjar mpnz yatakwsha tuu, hawa wanaume n watu wengne kabsa, mi pia nko broken heart hapa ucngz haupit yamenikuta hayohayo tena uck wa leo nmewaona kwenye gar na mtu wake mwngne nmeumia sana yan ila nmemwachia mungu tuu, our God is not dead he's surely alive, I believe he wil do something 4 us
Yan mwsho wa siku ukikuta kibamia kule utataka kutoka kwenye ndoa lkn itakua too late, n bora muoane wote mkiwa mnajijua na kuridhia kabsa, hayo mambo ya mpka ndoa cjui yashaptwa na wkt
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.