Ngumu kweli kama ilivyo Wizara ya Maliasili na Utalii. Ntagazwa, Mgumia, Ngasongwa, Zakhia, Mwangunga, Balozi Hamis K, Lazaro, Juma Hamad, Ezekiel.... list ndefu kweli kweli.
kuna
Kweli, kuna haja ya kutenganisha Nishati na Madini, kutokana na na unyeti wake.
Sikumbuki ni waziri gani alishawahi toka salama ktk Wizara ya Nishati na Madini.
Wengi hatujuani hapa JF, lakini the way unavyojitahidi kuficha na kujibu posts mbali mbali juu ya kitambi chako, ndivyo unavyozidi kuuthibitishia ulimwengu kuwa mwenye kitambi ni Jovitha, kubali au kataa.
The bottom line: punguza kufakamia misosi na bia za offer! Fanya mazoezi kwa sana.
Kweli The hammer; pia zoezi la ukaguzi wa magari yote lifanywe ktk Mikoa yote, task force isielekezwe Arusha tuu kwa vile ajali kubwa ya kutisha imetokea kule.
Mkuu, siyo kweli kwamba Mjerumani alijificha ktk mbuyu huu, bali ni kwamba Mjerumani alitumia mbuyu huu kunyongea wale walioonyesha upinzani dhidi yake. Eneo hili lipo kati ya mji wa Minjingu na Magugu. Ni Karibu na njia panda ya kwenda Tarangire.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.