Upinzani hatuna tuna waropokaji na wachumia tumbo falsafa walizonazo hubadilika wanapoons ugali mbele yao (siasa za hovyo zimepitwa na wakati,siasa za kuambia uwongo ni enzi za bwana yule siyo sasa !) Mnazunguka mnatumia pesa nyingi watu wanashindwa kwenda makazini wanawasikiliza nyie wanajuwa...
Lisu ni mzalendo wa wazungu tangu lini serikali hata ikifanya mambo ya maana akaipoingeza mbali kwamba kupongeza si jambo la lazima (kwa ujumla lisu sijawahi kumkubali na siasa anazotumia
Hongera sana mkuu!dada zetu wakiona mwenzao anapata mambo hayo hususani sehemu zenye watu kama hiyo hukaa na kumpiga vijembe hawa watu huwa hawapendani kabisa
Tangu mbowe amesajri namba 10 ya kuvizia kufunga magori sijawahi kuwaamni tena! Hawa jamaa ni wasaliti wa sera walizotunga wao wenyewe !kazi yao tu wanajua kuchafuana tu mwisho wa siku wanaanza kusafishana kwa madodoki ya magunzi ya mahindi
Zitto alikamatwaje wakati ana amini kwamba wakija kwake hugeuka bwawa au mti wa mrumba au zilikuwa kauli za kisiasa za kusema uongo kama alivyosema kuna watu 100 wamefariki huko uvinza
Kipindi cha bwana yule waliachwa wakafanya wanayotaka cc tunakula nyama ya ngo'mbe wao hawakuijuwa ni kupiga mnyama wanayemtaka mbugani awe na vibali halal asiwe na vibali hakuna wakuuliza,nakumbuka ukikamata watu kama hao unapigiwa simu na mkuu wako ana kwambia (kwani ungewaacha ungeathirika...
Duu!kama ni kweli taskforce wanapaswa kupongezwa kwa kazi nzuri! Ni hatari sana kwa viongozi wa nchi wapatapo madaraka wanashindwa kukemea mambo haya huku wakiona watu wanakosa madawa mahospitali ,watu wanakosa hata gari la wagonjwa mashuka vitanda mahospitali hamna,maji miundo mbinu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.