Habari wana jamii Natafuta kiwanja kiwe njia ya bagamoyo sehemu nyingine pia ni sawa ila Chaguo la kwanza ni bagamoyo road.
Natumaini kupata ushirikiano wa dhati. Asante..
Mimi Wakala wa Tigo pesa na M pesa Natafuta Tenda za wenye makampuni niwe nawafanyia malipo ya mishahara wafanyakazi wake kwa njia ya mtandao.
Karibuni sana......
Nina duka langu la vipuri vya pikipiki Natafuta fundi mzoefu wa pikipiki mwenye wateja wake aje kufanya biashara kwenye eneo langu bure ila tu awe ananunua vipuri kwenye duka langu.. Nipo dar es salaam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.