Recent content by Twilumba

  1. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu Hassan Hili la Humphrey Polepole Halitapita hivihivi

    Weka akiba ya maneno, Vizazi vyako visije pata tabu ya kujua laana ilitokea wapi.
  2. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni kiumbe hatari sana, nimemuona brother Mabeste chozi limetaka kunitoka

    Ishi na watu kwa akili, si kwa hisia pekee. Ukimsaidia mwanamke, msaidie kwa moyo wa ubinadamu bila kupoteza mwelekeo wako. Mema unayofanya si dhamana ya kupendwa milele, kwani hisia na mazingira hubadilika.
  3. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa: Makamu wa Rais ana nafasi gani katika nchi?

    Tlaatlaah ana majibu ya maswali yako!
  4. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Kwaheri NMB

    Nmb wako poa mfano leo wanaopokea Salary kutoka NMB washasaza....CRDB wanapa rangi upepo bado...shubaramit!!
  5. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kusikia redioni mtangazaji akipiga chafya

    Ni khs uzi wako!!
  6. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Wife hapendi niwe namchungulia utupu wake

    Nyie vijana hebu wastirini wake zenu, ni ulimbukeni gani huo?
  7. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kusikia redioni mtangazaji akipiga chafya

    Sikiliza ile Radio anatangaza Gerald Hando utafuta hii thread yako!
  8. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Picha ya dada aliyeiba mtoto Chanika sasa yawekwa wazi, atakayemuona atoe taarifa

    Kubwa kbs asimfanyie ubaya wowote huyo mtoto!!
  9. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Huenda mikakati ya CHAUMMA kwenye uombaji wa michango kwa waTanzania, ikaipiku ile ya CHADEMA pakubwa kwenye kiasi cha makusanyo ya pesa

    Malengo ya kimkakati ya CHAUMA wanayo CCM. Full stop🤣🤣🤣
  10. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Huenda mikakati ya CHAUMMA kwenye uombaji wa michango kwa waTanzania, ikaipiku ile ya CHADEMA pakubwa kwenye kiasi cha makusanyo ya pesa

    Wanakusanya za nini ili hali chanzo chao cha mapato ni CCM kipo?
  11. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Namshangaa Prof. Tibaijuka anaposema Lissu ni kete muhimu katika maridhiano inamaana haoni athari alizoleta kwa Taifa? Au ni athari za kukosa cheo?

    Kusema Prof. Tibaijuka ana Njaa ya uteuzi ni nini? Wewe unajilinganishaje na Prof. Tibaijuka kwa mfano, umefanya nn kwa Taifa hili kumzidi Prof. Tibaijuka?
  12. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Namshangaa Prof. Tibaijuka anaposema Lissu ni kete muhimu katika maridhiano inamaana haoni athari alizoleta kwa Taifa? Au ni athari za kukosa cheo?

    Kitu cha kwanza kinachoonekana kwenye andiko lako ni dharau kwa watu ambao umewazidi kwa hisia, si kwa maarifa. Kumjibu Prof. Anna Tibaijuka kwa kejeli kana kwamba huelewi alivyofikia hadhi ya Uprofesa ni kujidhalilisha mwenyewe. Uprofesa haupatikani kwa kuwa "chawa" wa mtu au kwa kupiga kelele...
  13. Twilumba

    JamiiForums Tanzania NAHITAJI MUME HIV POSITIVE

    Akili zenu bana Lumumba kweli pumba mukichwa, Kijana si jinsia, bali ni hadhi ya umri. Mtu anaweza kuwa kijana wa kiume au kijana wa kike; punguza ujuaji kwa mambo usiyoyajua.
  14. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Hivi nyinyi mnaowachangia wanasiasa matapeli wa CHADEMA huwa mnaakili za kawaida kama zetu mbona Mimi sielewi wakuu au ni kukosa elimu ya fedha?

    Too late bro, Wananchi washaamua, Uamuzi wenu ni invalid, won't work any more!!
  15. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Msongamano mkubwa wa Malori ya Mizigo Dar-Chalinze kwa sasa ni matokeo ya Ubia (PPP) Bandari ya Dar es salaam-David Kafulila

    Yaani kama mkuu wa kaya anayefurahia watoto kwenda chooni mara kwa mara akidhani ni shibe, kumbe hajui watoto wanaumwa matumbo ya kuhara!!
Back
Top Bottom