Ishi na watu kwa akili, si kwa hisia pekee. Ukimsaidia mwanamke, msaidie kwa moyo wa ubinadamu bila kupoteza mwelekeo wako. Mema unayofanya si dhamana ya kupendwa milele, kwani hisia na mazingira hubadilika.
Kusema Prof. Tibaijuka ana Njaa ya uteuzi ni nini? Wewe unajilinganishaje na Prof. Tibaijuka kwa mfano, umefanya nn kwa Taifa hili kumzidi Prof. Tibaijuka?
Kitu cha kwanza kinachoonekana kwenye andiko lako ni dharau kwa watu ambao umewazidi kwa hisia, si kwa maarifa. Kumjibu Prof. Anna Tibaijuka kwa kejeli kana kwamba huelewi alivyofikia hadhi ya Uprofesa ni kujidhalilisha mwenyewe. Uprofesa haupatikani kwa kuwa "chawa" wa mtu au kwa kupiga kelele...
Akili zenu bana Lumumba kweli pumba mukichwa, Kijana si jinsia, bali ni hadhi ya umri. Mtu anaweza kuwa kijana wa kiume au kijana wa kike; punguza ujuaji kwa mambo usiyoyajua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.