Recent content by Twilumba

  1. Twilumba

    Usimuwekee dawa ya kienyeji kwa siri mtu bila kuijua zaidi hiyo dawa, ndo chanzo cha yule dada kumuua mumewe

    Mmhhhh hapana ukweli hapa!!! Mwili wa mtu uingie kwenye bag uchanganywe na nguo? Hilo beg la aina gani na ukubwa gan na hizo nguo ni za wananchi wangapi? Watu wa carry hawazidi wa4 how come? Hii haijakaa sawa.
  2. Twilumba

    Daraja lakatika Kigamboni wananchi wanahaha

    Sio njia pekee hata hvy sio njia ya kipaumbele hasa kwa mtu anayetoka ferry. Njia ambayo wengi wanatumia ni Kibada mkuu.
  3. Twilumba

    Kifo cha Gazeti la Mwananchi kilitarajiwa baada lakini siyo ghafla kiasi hiki

    Jikute saaa hz, Utalichukia limenunuliwa makusudi kwa kazi maalum ya wana mtandao ambao Mama yako si mmoja wao!
  4. Twilumba

    Padre Proper Kessy: Wanaofanya kazi Serikalini wanakaa na siri nzito ambazo wanajua wakizitoa zitaleta ukombozi

    Hata Dr. Manyaunyau hawezi kuwa na akili kama ya Dr. wewe...Mungu akusaidie kwa kweli!!
  5. Twilumba

    Huyu ni mdudu ambae simfurahii hata kidogo. Dunia ingekua sehemu salama sana bila kuwepo huyu mdudu

    Anopheles mbaya sana huyu mdudu sema tu kwa sababu ni jike la sivyo angeshateketezwa zamani!!
  6. Twilumba

    House4Rent Nyumba inapangishwa Sinza - Kodi TZS 2Million kwa mwezi

    Ni 2,000,000 Kama tarakimu zinasumbua ita 2Mil. Kama nayo inasumbua ita Milioni 2
  7. Twilumba

    Makonda ni balaa, atwanga Kiingereza kilichonyooka na Mkandarasi utafikiri amezaliwa ndani ya jumba la Malkia Elizabeth Uingereza

    Mwashabwa umekuwa mshamba sana wewe, kwamba hujui Makonda aligoji cheti? Usitutafutie ban kwa lazm bro mshamba plz
  8. Twilumba

    Kiukweli kama mtumishi Boniface Mwamposa anafanya utumishi wa kweli wa Mungu. Mungu ambariki sana

    Kuna spiritual power fulani wanakuwa planted Nigeria na huezi sikia wakisema ila huwa wanaenda mara kadhaa ku-re-empower ndo hizo wanawaaminisha wajinga. But hakuna kitu pale ni usanii mtupu!!
  9. Twilumba

    Siku hizi hatutongozi tena wanawake… tunawapa tu “idea” tu!

    "Twende zetu Kilimarathon ukapate new life experience"
Back
Top Bottom