Recent content by Twilumba

  1. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Ukipata nafasi, nenda ukale chakula kwa Mama Ntilie, utabarikiwa

    Sio lzm ule pita hata wanunulie wengine wenye uhitaji!!
  2. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Ukipata nafasi, nenda ukale chakula kwa Mama Ntilie, utabarikiwa

    Si kila mama ntilie alipitia maisha unayoyazungumzia, na hata waliopitia changamoto bado wanastahili heshima na nafasi ya kujitafutia riziki halali. Kununua chakula kwa mama ntilie si suala la ‘baraka’ pekee, bali pia kusaidia uchumi wa watu wa kawaida wanaopambana kila siku kuendesha maisha...
  3. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Polisi wamtafuta aliyepandisha bendera tano zinazofanana na bendera ya Taifa na bango lenye ujumbe ‘Uzinduzi wa Mapenzi’

    Akaomlngeza vionjo vya mauno si mwingineeewe ni kangi....
  4. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Polisi wamtafuta aliyepandisha bendera tano zinazofanana na bendera ya Taifa na bango lenye ujumbe ‘Uzinduzi wa Mapenzi’

    Angepanda bangi ingekuwa nongwa, Amepanda bendera nongwa!!
  5. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Polisi wamtafuta aliyepandisha bendera tano zinazofanana na bendera ya Taifa na bango lenye ujumbe ‘Uzinduzi wa Mapenzi’

    Kuna jinai gani hapo kwa mujibu wa katiba, RPC asome vzr PGO asije pata aibu yy na Jeshi kwa ujumla!!
  6. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Mahakama yafuta kesi ya mgawanyo wa mali CHADEMA

    Ndugu hamnazo kwa kifupi, Serikali hupata hasara kwenye huu upuuzi wenua usio na manufaa na unaosababisha matumizi ya kodi za walala hoi; ●Matumizi ya fedha za umma kwenye uchunguzi, uendeshaji wa kesi, polisi, waendesha mashtaka na mahakama. ●Kupoteza muda wa taasisi za serikali kwa kesi...
  7. Twilumba

    JamiiForums Tanzania TRC yaingiza Ford Rangers zenye teknolojia ya Laser kukagua Reli ya SGR

    Shirika la Reli Tanzania Tanzania Railways Corporation (TRC) limeanzisha magari aina ya Ford Ranger yaliyowekewa teknolojia ya laser ili kuboresha ukaguzi na ufuatiliaji wa usalama wa reli ya kisasa ya SGR. Magari hayo maalum ya Hi-Rail yatatumika kukagua na kufuatilia njia ya reli ya SGR kwa...
  8. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Walimpiga Lissu risasi ili ionekane ni Serikali

    Mkuu una uhakika wenye akili ndio hupata cheo CCM?
  9. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Aumizwa Na Kusikitishwa Sana na Kifo cha Bi Khadija Said Salmini Mtangazaji wa Kwanza Mwanamke Nchini Tanzania

    malizia kbs.......""wakati huo huo amefurahishwa na kutekwa na kuumizwa kwa Msaidizi wa Mh. Tundu Lissu.....
  10. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Pingu mara nyingi hutambuliwa kama kifaa cha kiusalama/chombo cha kudhibiti mtu, na katika mazingira mengi ya kisheria huangukia kwenye kundi la vifaa vinavyotumiwa na vyombo vya dola au ulinzi. Utambulisho wa pingu unaweza kuwa kwa njia hizi: Namba ya serial/registration iliyochongwa kwenye...
  11. Twilumba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu kanisukuma kitandani kisa nimepanda miguu michafu

    .....koma kuidharirisha hii forum.
  12. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Nadhani The Velvet Lounge na Sudan Hotel Temeke, ni mifano hai ya Sodoma na Gomora!

    Tembea uone.... Njombe kuna mtaa unaitwa mtaa wa dhambi, pale hakuna dhambi isiyofanyika!
  13. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Hoteli Jijini Arusha

    1. Ipo stand ya buses, haina utulivu kama unahitaji kupumzika. 2. Ni kati ya hotel za zamani kidogo ukiondoa zile za zamani sn km stereo etc...
  14. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Temeke DC yafafanua Watumishi kuingiziwa fedha kisha kuambiwa wazirudishe, yaelezwa ziliingizwa kimakosa

    Wanasiasa hawajui technicality na hawajui government ipo katika status gani kwenye baadhi ya mambo. Mfano DC hapo amedanganya kwa kutokujua au kwa yy kudanganywa, LGAs walianza kutumia Accounting Package (MUSE) siku nyingi kusema majina yalikuwa kwenye flash possibly lkn kuna uongo wa wazi hapo
Back
Top Bottom