Mmhhhh hapana ukweli hapa!!!
Mwili wa mtu uingie kwenye bag uchanganywe na nguo? Hilo beg la aina gani na ukubwa gan na hizo nguo ni za wananchi wangapi? Watu wa carry hawazidi wa4 how come? Hii haijakaa sawa.
Kuna spiritual power fulani wanakuwa planted Nigeria na huezi sikia wakisema ila huwa wanaenda mara kadhaa ku-re-empower ndo hizo wanawaaminisha wajinga. But hakuna kitu pale ni usanii mtupu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.