Si kila mama ntilie alipitia maisha unayoyazungumzia, na hata waliopitia changamoto bado wanastahili heshima na nafasi ya kujitafutia riziki halali.
Kununua chakula kwa mama ntilie si suala la ‘baraka’ pekee, bali pia kusaidia uchumi wa watu wa kawaida wanaopambana kila siku kuendesha maisha...
Ndugu hamnazo kwa kifupi, Serikali hupata hasara kwenye huu upuuzi wenua usio na manufaa na unaosababisha matumizi ya kodi za walala hoi;
●Matumizi ya fedha za umma kwenye uchunguzi, uendeshaji wa kesi, polisi, waendesha mashtaka na mahakama.
●Kupoteza muda wa taasisi za serikali kwa kesi...
Shirika la Reli Tanzania Tanzania Railways Corporation (TRC) limeanzisha magari aina ya Ford Ranger yaliyowekewa teknolojia ya laser ili kuboresha ukaguzi na ufuatiliaji wa usalama wa reli ya kisasa ya SGR.
Magari hayo maalum ya Hi-Rail yatatumika kukagua na kufuatilia njia ya reli ya SGR kwa...
Pingu mara nyingi hutambuliwa kama kifaa cha kiusalama/chombo cha kudhibiti mtu, na katika mazingira mengi ya kisheria huangukia kwenye kundi la vifaa vinavyotumiwa na vyombo vya dola au ulinzi.
Utambulisho wa pingu unaweza kuwa kwa njia hizi:
Namba ya serial/registration iliyochongwa kwenye...
Wanasiasa hawajui technicality na hawajui government ipo katika status gani kwenye baadhi ya mambo. Mfano DC hapo amedanganya kwa kutokujua au kwa yy kudanganywa, LGAs walianza kutumia Accounting Package (MUSE) siku nyingi kusema majina yalikuwa kwenye flash possibly lkn kuna uongo wa wazi hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.