Achana na miujiza, kweli inaanza na wewe, ukiamini kumpokea Yesu kristo, ukatubu na kufanya Sala ya Toba, ukaamua kuacha dhambi zako, hakika utabarikiwa, na mabalaa unayoyaona yanatoweka, shida inakuja ukirudi Tena ktk uovu, hapo shetani anarudi na rafiki zake Mara dufu, hapo utateseka daima...