Nahitaji kanisa lenye miujiza

Nahitaji kanisa lenye miujiza

Achana na miujiza, kweli inaanza na wewe, ukiamini kumpokea Yesu kristo, ukatubu na kufanya Sala ya Toba, ukaamua kuacha dhambi zako, hakika utabarikiwa, na mabalaa unayoyaona yanatoweka, shida inakuja ukirudi Tena ktk uovu, hapo shetani anarudi na rafiki zake Mara dufu, hapo utateseka daima,, Soma yer; 17:7 amebarikiwa mtu yule amtegemea bwana,
Yer: 17:5 amelaaniwa mtu yule amtegemea mwanadamu
 
Mkuu

Niamini

Mambo ya kijadi yanatatuliwa kijadi!kutafuta miujiza ni kubahatisha tu!!

Kaaangalie tatizo ni nini halafu fanyia KAZI kile ulichoambiwa!!

"Mzee Warioba arudishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato wa katiba mpya ukamilike"
 
Patana na mshitaki wako, Umejaribu kucheki upande wa wazazi hamna ambae mmepishana kauli?
 
Habari Ndugu zangu wa Jf.

Nahisi kuna mkono wa mtu katika maisha yangu. Nijuzeni kanisa tajwa hapo juu nikapate maombi.

Sijawahi kula raha kama wengine wanavyo faidi maisha haya.

Natanguliza shukurani naomba muongozo.
Pole sana mkuu ila tambua sio wewe pekeyako unayopitia hayo nikikuhadithia madhila ninayopitia utaona yako yana uafadhali tuzidi kuombeana.
 
Habari Ndugu zangu wa Jf.

Nahisi kuna mkono wa mtu katika maisha yangu. Nijuzeni kanisa tajwa hapo juu nikapate maombi.

Sijawahi kula raha kama wengine wanavyo faidi maisha haya.

Natanguliza shukurani naomba muongozo.
Nakushàuri nenda Zanzibar Pemba.Tafuta sheikh mkubwa uliza wenyeji.Mueleze Shida zako na umwambie unataka kusoma kisomo cha Al badiir.Ukirudi kwenu utashuhudia watu wengi wakifa.Utapata ndoto kuwa umeua nyoka wengi ktk ndoto.Hao nyoka utakaoota umewauwa sio nyoka ni watu wote waliokufanyia nguvu za giza kiasi cha wewe kupata mikosi.Nakutakia utekelezaji mwema.
 
Usiogope,narudia Tena usiogope...nenda ufufuo na uzima gongo la mboto,waambie nataka kuonana na Askofu Gershom atakusaidia Sana.
 
Nakushàuri nenda Zanzibar Pemba.Tafuta sheikh mkubwa uliza wenyeji.Mueleze Shida zako na umwambie unataka kusoma kisomo cha Al badiir.Ukirudi kwenu utashuhudia watu wengi wakifa.Utapata ndoto kuwa umeua nyoka wengi ktk ndoto.Hao nyoka utakaoota umewauwa sio nyoka ni watu wote waliokufanyia nguvu za giza kiasi cha wewe kupata mikosi.Nakutakia utekelezaji mwema.
Hata kama ni laana za ukoo anasafisha?
 
Back
Top Bottom