Kijana kampenda kweli yule dada, shida dada yule hana mipango anawaza kutumia pesa tu na si kuzitafuta.
Amepata fursa ya kuwa manager ili ajipatie kipato halali KUPITIA ubunifu wake na kujituma lakini maskini ya Mungu dada lile ni bongo lala kwake umeneja ulikuwa ni mzigo mzito sana.
Dada yule...
Ninaongea kwa masikitiko makubwa kihusiana na jamaa zetu wa tanesco.
Nipo kijijini kila nikitaka kununua umeme kwa njia ya simu haununuliki ni siku ya pili leo. Nawapigia simu wanasema tununue kwa mawakala.Hii haikubaliki hata kidogo. Ina maana saivi nitoe pesa kwenye simu kuna makato kisha...
Wakuu habari,
Inaweza kuonekana kama naota hivi ila amini usiamini kwa utawala huu hili linaweza kwenda kutokea wote mkabaki mnashangaa.
Hivi mnafikiri Mr Polepole ni wa hadhi ya kuwa mbunge tu? Ili iweje? Ubunge wake lazima uwe kwa maslahi mapana kabisa ya taifa na hivyo basi anastahili zaidi...
Daaah..huu uzi umenikumbusha mbali sana enzi hizo nikiwa na umri wa kama miaka 13 hivi.Tulikuwa tunaishi karibu na ghorofa kubwa za shirika la nyumba basi tukawa na tabia ya kwenda kucheza kule kwa staili ya kuteleza kwenye kingo na kuangukia chini..Sasa bwana siku iyo wakati tunacheza mimi...
Ahahahah.. Nilitaka kushangaa mzee baba aliache hili lipite kweli.Sisi tushanyooka wakenya hawatoboi aisee watalia na kusaga meno
Sent using Jamii Forums mobile app
Depal, Mkuu walipakiza watu njiani wakati tunaondoka tulikuwa level. Sanitizer ya gari ilikuwepo ila watu wengi waliipotezea. Wengi wetu hatupo makini mkuu inaumiza sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu wasalaam,
Naandika kwa masikitiko makubwa sana nikiwa kwenye Coaster moja kuelekea mji fulani. Nilichoshuhudia humu ndani ni upumbavu wa kiwango cha juu sana raia hawajionei huruma kabisa kama kuna janga la corona.
Gari haipo "level siti", watu wanaminyana na kusogeleana sana, watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.