twende kazi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,520
- 459
Wakuu wasalaam,
Naandika kwa masikitiko makubwa sana nikiwa kwenye Coaster moja kuelekea mji fulani. Nilichoshuhudia humu ndani ni upumbavu wa kiwango cha juu sana raia hawajionei huruma kabisa kama kuna janga la corona.
Gari haipo "level siti", watu wanaminyana na kusogeleana sana, watu wanaongea hovyo na kutema mate, watu hawatumii sanitizers kwa kifupi watu wamejiachia mno.
Ole wetu wadanganyika Mungu yu pamoja nao na wale watu wenye maarifa na wanaotumia akili zao kwa ufasaha. Tukiendekeza huu upumbavu hakika tutaangamia. Mungu tusaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naandika kwa masikitiko makubwa sana nikiwa kwenye Coaster moja kuelekea mji fulani. Nilichoshuhudia humu ndani ni upumbavu wa kiwango cha juu sana raia hawajionei huruma kabisa kama kuna janga la corona.
Gari haipo "level siti", watu wanaminyana na kusogeleana sana, watu wanaongea hovyo na kutema mate, watu hawatumii sanitizers kwa kifupi watu wamejiachia mno.
Ole wetu wadanganyika Mungu yu pamoja nao na wale watu wenye maarifa na wanaotumia akili zao kwa ufasaha. Tukiendekeza huu upumbavu hakika tutaangamia. Mungu tusaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app