twende kazi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,520
- 461
Wakuu habari,
Inaweza kuonekana kama naota hivi ila amini usiamini kwa utawala huu hili linaweza kwenda kutokea wote mkabaki mnashangaa.
Hivi mnafikiri Mr Polepole ni wa hadhi ya kuwa mbunge tu? Ili iweje? Ubunge wake lazima uwe kwa maslahi mapana kabisa ya taifa na hivyo basi anastahili zaidi ya huo ubunge na hilo linaenda kufanyika.
Haijulikani muda wala saa ila amini nyie watu nawaambia hili linaenda kutokea tena kwenye awamu hii hii
Samahani kwa nitakaowakwaza hii sio ramli chonganishi ila ni mpango kamili na maandalizi yameonekana machoni kwenu.
Yajayo yanafurahisha sana.
Inaweza kuonekana kama naota hivi ila amini usiamini kwa utawala huu hili linaweza kwenda kutokea wote mkabaki mnashangaa.
Hivi mnafikiri Mr Polepole ni wa hadhi ya kuwa mbunge tu? Ili iweje? Ubunge wake lazima uwe kwa maslahi mapana kabisa ya taifa na hivyo basi anastahili zaidi ya huo ubunge na hilo linaenda kufanyika.
Haijulikani muda wala saa ila amini nyie watu nawaambia hili linaenda kutokea tena kwenye awamu hii hii
Samahani kwa nitakaowakwaza hii sio ramli chonganishi ila ni mpango kamili na maandalizi yameonekana machoni kwenu.
Yajayo yanafurahisha sana.