Recent content by Twaqu

  1. T

    Naomba kujuzwa mamlaka za Serikali zinazoajiri zenyewe

    Najaribu 1.TRA 2.EWURA 3.NSSF 4.PSSF 5.BOT
  2. T

    Majibu yanatoka lini kuhusu hatua nyingine ya Usaili wa Mahojiano TRA?

    Kitu sijaelewa hapa Ratiba inasema 24/9 na kuendelea haijascpecify mfano Written itafanyika siku hii na Oral itafanyika siku hii lakini pia hapo hapo Tangazo linaonekana(sina uhakika)kama kuna Written tu na baada ta hapo waliofaulu watapangiwa vituo vya kazi
  3. T

    Majibu yanatoka lini kuhusu hatua nyingine ya Usaili wa Mahojiano TRA?

    Habari wana JF Naomba kujua kuhusu hizi Interview zinazoendelea na ambazo zimekwisha fanyika za Written kuna mwenye taarifa majibu yanatoka lini kuhusu hatua nyingine ya Usahili wa Mahojiano (Oral Interview) au hakuna? Nawasilisha.
  4. T

    Zanzibar Revenue Authority wametangaza nafasi za kazi

    Nahitaji kuuliza kitu zile nafasi za kazi za TRA (Mamlaka ya Mapato Tanzania)wakati zimetangazwa zilifanya consideration kwa Nchi zote mbili yaani Tanzania na Zanzibar! Sasa leo hii nimekutana na Tangazo nafasi za kazi la ZRA (Mamlaka ya Mapato Zanzibar) naona wanaohitajika ni Wazanzibari tu...
  5. T

    Mliopangiwa kazi Serikalini kupitia Mchakato wa 'Database' ya Utumishi, njooni mtoe Experience yenu

    Unaweza usipangiwe nafasi hiyo ila kada inayoenda na kozi yako Mfano Mtu wa BBA (Anaweza kuwa Afisa Utawala,Afisa Biashara,Afisa Leseni,Afisa Usajili,Afisa Undeshaji,Afisa Usalama wa Viwanja vya ndege na mengineyo) So kanzi data itaangalia wapi pana upungufu wa kada ipi na wapi aliewekwa...
  6. T

    Hivi inawezekana mtu akawa wa kwanza kwenye usaili wa kuandika wa utumishi halafu asiitwe kazini

    Inawezekana ukute kwenye kuandika as in maelezo yuko vizuri ila Presenting alichokiandika akawa hajui,Hajiamini,Hawezi alipofikia hatua ya Oral
  7. T

    Je, kuna uhamisho wa kuhama Sekta moja kwenda nyingine?

    Option ya 1:Ni kuandika barua hiyo sekta kuomba nafasi ta kuhamia ya Kada yako watakapokurudishia majibu kuwa wana nafasi ndipo untaandika barua kwenda kwa Katibu Mkuu Utumishi kupitisha kwa Mwajiri wako na kama umepangwa kwenye stations utapitisha kwa Immediate supervisor wako then itaenda...
  8. T

    Uhamisho kutoka wizara moja kwenda wizara nyingine

    Kuna Wengine if you have connection after a month unapata Barua yako!!!ila wengine mpaka miezi 3 hadi sita moaka Mwaka ndio barua inatokaa
  9. T

    Hii kitu Isemwe na Irekebishwe (PSRS) Majina ya Oral Interview Kutolewa Usiku Saana

    Jamani hili suala lifikishwe Mahali Husika, Interview Imefanyika two days ago Utumishi wana Tabia ya Kutoa Majina ya watu waiofanikiwa kuitwa Oral Interview Usiku....ambapo mtu wa mikoa ya Mbali ni ngumu kufika Dodoma endapo ataitwa kwenye Interview!!! Hili suala tulifikishe mbali huu...
  10. T

    Airport Operations Officer II & Airport Security Officer II (TAA)

    Habari za kazi wapendwa! Mimi nina maswali mawili Endapo mtu ameomba nafasi hizo hapo juu mbili na ameitwa zote mbili na Sekretariat ya Ajira je kuna uwezo wa Mtu huyu kuomba afanye zote mbili??Maana ziko pamoja na siku ni moja na muda ni mmoja???Anaweza kubaliwa kufanya zote... Lakini Je...
  11. T

    Financial Clerk at US Embassy June, 2022

    How!Kwamba We Tanzanian hatupendi kufanya Applications especially za Namna hii au??
  12. T

    Usaili Utumishi kufanyika kila mkoa

    Naomba Kuuliza swali mfano labda lets say Nafasi ni Moja ile ya Afisa Mambo ya Nnje II huo Usahili wa Kila Mkoa unafanyika for one position kweli au tunahama Teknojia ya Physical interview tunaenda Modernized one "Zoom na mengineyo"kwasababu mi naasume kwamba Nafasi 1 lets say wameshortlist watu...
Back
Top Bottom