Jamani hili suala lifikishwe Mahali Husika,
Interview Imefanyika two days ago Utumishi wana Tabia ya Kutoa Majina ya watu waiofanikiwa kuitwa Oral Interview Usiku....ambapo mtu wa mikoa ya Mbali ni ngumu kufika Dodoma endapo ataitwa kwenye Interview!!!
Hili suala tulifikishe mbali huu Utaratibu ni mbovu maana unatoa majina saa sita Usiku interview ni siku inayofuata mtu huyu yupo DSM au Mbeya au Mwanza anafikaje kama atakuwa ameitwa jamani.
Interview Imefanyika two days ago Utumishi wana Tabia ya Kutoa Majina ya watu waiofanikiwa kuitwa Oral Interview Usiku....ambapo mtu wa mikoa ya Mbali ni ngumu kufika Dodoma endapo ataitwa kwenye Interview!!!
Hili suala tulifikishe mbali huu Utaratibu ni mbovu maana unatoa majina saa sita Usiku interview ni siku inayofuata mtu huyu yupo DSM au Mbeya au Mwanza anafikaje kama atakuwa ameitwa jamani.